Anza Leo, Acha Kuahirisha

Mkuu upo sawa kabisa. Tatizo kubwa walilonalo watu wengi ni kushindwa kuahirisha manunuzi ambayo si ya lazima.

Let's say leo mtu kaokota Tsh 1,000,000/=. Kama mnywaji atasema ngoja nikajipoze kwanza na ka laki. Baada ya hapo ataanza kujijengea hoja ya kujishawashi, ooh nimeishiwa viatu,ooh siku nyingi sijaenda club, mara ooh ngoja nimtumie dogo laki mbili maana nimemtupa siku nyingi. Ghafla unajikuta umebaki na elfu hamsini.

Kingereza ni lugha tajiri, wanasema lazima ujue tofauti kati ya NEEDS na WANTS.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…