Anza kujifunza c programming language

Anza kujifunza c programming language

magabelab

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2014
Posts
374
Reaction score
202
Anza kujifunza c programming language kwa kupitia tutorials za youtube.

Kwa kutumia youtubedownloader kwenye pc yako ,
download playlist hii

http://m.youtube.com/#/playlist?list=PL0170B6E7DD6D8810

Pia unaweza kutumia app ya tubemate kwenye android phone yako, kudownload playlist za youtube.

Kuna playlist nyingi za c programming katika mtandao wa youtube,

Search c programming playlist utapata playlist mbalimbali kisha chagua playlist uipendayo

Pia tembelea

http://www.tutorialspoint.com/cprogramming/index.htm

Hii kujifunza zaidi.
 
We hujasoma C++ acha kutudanganya, aliyesoma C++ asingeuliza swali kama hilo

Kweli kabisa haijui hata hiyo C language. Ni kama kusema unaweza power point wakat word na excel hujui.
 
Kweli kabisa haijui hata hiyo C language. Ni kama kusema unaweza power point wakat word na excel hujui.
hakuna ligi ya mabishano , mi C++ nimesoma huenda wewe ndo unafuata upepo tu wa jf
 
Mkuu safi sana. Mm nipo na mpango wa kujifunza programming nadhani kupitia hizo tutorials zitanisaidia kupiga one step ahead in IT Field..
 
Mkuu safi sana. Mm nipo na mpango wa kujifunza programming nadhani kupitia hizo tutorials.

Anza kujifunza sasa hiv kk , hakikisha kila siku unaingiza concept mpya kichwani
 
asante mi nimesoma C++ je C ni ngumu kama C PLUS PLUS?

C++ imerahisishwa japo ni oop yenye maconcept mengi. C++ imetengenezwa juu ya c hvyo c ni mama wa c++. Kucode kwa kutumia c ni ngumu sana kulinganisha na c++

Ila sidhani kama c++ unaijua vizuri.
 
asante mi nimesoma C++ je C ni ngumu kama C PLUS PLUS?

C++ imerahisishwa japo ni oop yenye maconcept mengi. C++ imetengenezwa juu ya c hvyo c ni mama wa c++. Kucode kwa kutumia c ni ngumu sana kulinganisha na c++ ila ni vizuri zaidi kuanza kujifunza c then c++ kwasababu c itakukomaza na kukufanya ufikilie zaidi kama computer scientist hivyo ukiamia c++ ni raha mustarehe ,unacode meno yote nje ,unaenjoy jinsi code inavyoshuka
 
Dah. Nami ndo nataka nianze. Labda unishaur nianze na nin ,kama m2 ambae hana kitu. Ila nina concept ndogo ya Java.
 
Dah. Nami ndo nataka nianze. Labda unishaur nianze na nin ,kama m2 ambae hana kitu. Ila nina concept ndogo ya Java.

Anza History ya c, mjue fadher wa c Mr Dennis ritchie.

Kisha introduction ya c ,vitu kama
Variables na kisha andika app ndogo ya kuprint maneno kwenye console window ie hellow world . Then procced from there
 
Pole pole utajikuta unaanza kutumia Qt kutengeneza ma app makubwa ambayo ni usefull.
 
C++ imerahisishwa japo ni oop yenye maconcept mengi. C++ imetengenezwa juu ya c hvyo c ni mama wa c++. Kucode kwa kutumia c ni ngumu sana kulinganisha na c++ ila ni vizuri zaidi kuanza kujifunza c then c++ kwasababu c itakukomaza na kukufanya ufikilie zaidi kama computer scientist hivyo ukiamia c++ ni raha mustarehe ,unacode meno yote nje ,unaenjoy jinsi code inavyoshuka

asante sana umenijibu kwa busara si kawa watu wengine wanaojifanya kila kitu wanakijua ukiuliza baada ya kukujibu wanaanza kukukosoa
 
Back
Top Bottom