Anuani ya katibu mkuu kiongozi (CS)

bukoba04

JF-Expert Member
Dec 26, 2014
1,401
1,287
habar wanajamvi...

wiki iliyopita nilienda ikulu kupata ufafanuzi na utaratibu wa kumuona katibu mkuu kiongozi, kuhusu namna ya kunisaidi sakata langu la ajira pia kuomba huruma yake, baada ya kusitishiwa ajira (ajira mpya) ili kupisha zoezi la watumishi hewa, huku nikiwa na document za kumshawishi kurudi kazini (supportive documents)...

Baada ya kufika na kuonana na walinzi na baadhi ya watu wa mapokezi, waliniambia ni vema ukaandika barua ya kulalamika au kuomba katibu mkuu kiongoz asaidie suala lako, kuliko kuomba appotment, suala ambalo litachukua muda mrefu sana kujibiwa...

hivyo wiki hii nimeanza kuandika hiyo barua, ila nimeshindwa kupata anuani sahihi ya huyu mkuu, mwenye kuweza naomba anisaidie...

ila pia kama kuna mtu ambaye anaweza kunisaidia format nzuri, naomba msaada kwa kuwa naandika hii barua kwenda kwenye taasis yenye mamlaka ya juu sana kabisa katika utawala wa nchi hii

natanguliza shukrani
 
Hao waliokwambia uandike barua hawakukwambia inamlenga nani; kwanini hujawaomba anuani? Anyway! Unataka msaada Wa format! Ina maana hadi elimu uliyo NATO hujui kuandika barua official? Kwa maoni yangu hufai kuwa mtumishi Wa umma; na una kila dalili za kuwa na vyeti feki; ningeshauri uendelee kupisha uchunguzi tu!
******
Kwa katibu mkuu tu barua unataka msaada Wa format; je ungeambiwa uandike barua kwenda ikulu ya marekani si ndiyo kabisa ungerudi shule!
Bahati nzuri kina msigwa wapo humu; barua yako ni ya kutupwa kapuni tu maana hutaandika wewe Kwa akili yako.
 
WAKUU SAMAHANINI SANA MIMI NAIPENDA SANA KAZI AU AJIRA YA USALAMA WA TAIFA LAKN SIJUI NIMFATE NANI NIMUELEZE SHIDA YANGU.?ANISAIDIE ANGALAU NA MM NIFANYE KAZI VZR NA MHE.RAISI NIMSAIDIE KULIFIKISHA TAIFA ATAKAPO........MSAADA WENU JAMAN NA KAMA HAIWEZEKANI HATA JESHINI PANA NITOSHA NA HAKIKA SERIKALI ITANISIFU NA KUFURAHI UTENSAJI KAZI WANGU??MSAADA SANA JAMAN KWA ANAE WEZA KUNIOMBEA KAZI USALAMA?MBARIKIWE SANA
BY ERNEST
 
WAKUU SAMAHANINI SANA MIMI NAIPENDA SANA KAZI AU AJIRA YA USALAMA WA TAIFA LAKN SIJUI NIMFATE NANI NIMUELEZE SHIDA YANGU.?ANISAIDIE ANGALAU NA MM NIFANYE KAZI VZR NA MHE.RAISI NIMSAIDIE KULIFIKISHA TAIFA ATAKAPO........MSAADA WENU JAMAN NA KAMA HAIWEZEKANI HATA JESHINI PANA NITOSHA NA HAKIKA SERIKALI ITANISIFU NA KUFURAHI UTENSAJI KAZI WANGU??MSAADA SANA JAMAN KWA ANAE WEZA KUNIOMBEA KAZI USALAMA?MBARIKIWE SANA
BY ERNEST
Unaipenda haikupend kwa nn upende kisichokupenda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
WAKUU SAMAHANINI SANA MIMI NAIPENDA SANA KAZI AU AJIRA YA USALAMA WA TAIFA LAKN SIJUI NIMFATE NANI NIMUELEZE SHIDA YANGU.?ANISAIDIE ANGALAU NA MM NIFANYE KAZI VZR NA MHE.RAISI NIMSAIDIE KULIFIKISHA TAIFA ATAKAPO........MSAADA WENU JAMAN NA KAMA HAIWEZEKANI HATA JESHINI PANA NITOSHA NA HAKIKA SERIKALI ITANISIFU NA KUFURAHI UTENSAJI KAZI WANGU??MSAADA SANA JAMAN KWA ANAE WEZA KUNIOMBEA KAZI USALAMA?MBARIKIWE SANA
BY ERNEST

Uko wap?
 
Back
Top Bottom