deo paul555
JF-Expert Member
- Oct 22, 2018
- 1,405
- 520
Why inbox? Onyesha hapa hapa watu tuone, km kweli hizo documents unazo, bdozen kwa mshahara wa laki6 anawezaje kumiliki maduka ya nguo classic?hakuna mtangazaji yeyote wa clouds anaelipwa salary zaidi ya laki 6..kama huamini nitafute inbox nikuonyeshe documents.
Connection zipi? Ila bongo aisee kila mtu kambaleMzee wakambi popote siyo
Inawezekana kwani huenda anafanya koneksheni nyingi za matangazo na ndiyo yanayosababisha kituo kisonge mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
Bdozen mbona lipo waziiWhy inbox? Onyesha hapa hapa watu tuone, km kweli hizo documents unazo, bdozen kwa mshahara wa laki6 anawezaje kumiliki maduka ya nguo classic?
Mimi nilikuwa sijui hebu weka hapa na Mimi nione mkuu,Bdozen mbona lipo wazii
Imekaa vipi hiihakuna mtangazaji yeyote wa clouds anaelipwa salary zaidi ya laki 6..kama huamini nitafute inbox nikuonyeshe documents.
Wanajilipa wenyeweWhy inbox? Onyesha hapa hapa watu tuone, km kweli hizo documents unazo, bdozen kwa mshahara wa laki6 anawezaje kumiliki maduka ya nguo classic?
2014 Mchomvu alikuwa Anakula laki 9,Ukitaka kuthibitisha hilo kacheck ule mjengo alio jenga pale sala sala na kule Arusha kwao,nahis saiv Anaweza akawa Anakula si chin ya 1M.hakuna mtangazaji yeyote wa clouds anaelipwa salary zaidi ya laki 6..kama huamini nitafute inbox nikuonyeshe documents.
1m Bado ni hela ndogo sana kwa personality kama Mchomvu..sasa mwanangu Kenedy anavuta ngapi kama baba la bala unasema ni 1m?2014 Mchomvu alikuwa Anakula laki 9,Ukitaka kuthibitisha hilo kacheck ule mjengo alio jenga pale sala sala na kule Arusha kwao,nahis saiv Anaweza akawa Anakula si chin ya 1M.
Aaah! Kila mtu anandevu siyoConnection zipi? Ila bongo aisee kila mtu kambale
Huo ndio mshahara wa kujenga mjengo yani 900K?2014 Mchomvu alikuwa Anakula laki 9,Ukitaka kuthibitisha hilo kacheck ule mjengo alio jenga pale sala sala na kule Arusha kwao,nahis saiv Anaweza akawa Anakula si chin ya 1M.
Sio kwa watangazaji wa TZ.
hakuna mtangazaji yeyote wa clouds anaelipwa salary zaidi ya laki 6..kama huamini nitafute inbox nikuonyeshe documents.
Mshahara wa laki9 unaweza kujenga mijengo miwili? Labda wanapata Commission ambazo zinakuwa zaidi ya mshahara.2014 Mchomvu alikuwa Anakula laki 9,Ukitaka kuthibitisha hilo kacheck ule mjengo alio jenga pale sala sala na kule Arusha kwao,nahis saiv Anaweza akawa Anakula si chin ya 1M.
Aache unafiki mi nilisikia gadner habash ndio analipwa vizuri pale coz hata jahazi yeye ni kinara huyu nugaz ni kipele tu wakutumwatumwa pale halafu huyu jomba inaonekana anatokea kule kwenye urojo au tanga ongea yake tu yakiurojorojo kama mpemba vileNimepata bahati ya kumsikiliza ndugu Antonio Nugaz katika mahojiano na kituo fulani na kujisifia kuwa ndio mtangazaji anayelipwa zaidi pale Clouds Media Group.
Lakini hii inaleta tafsiri kuwa kuna kitu zaidi ya umaarufu kinachozingatiwa katika media, kuna wanaoajiriwa kutokana na CV zao na wengine kutokana na vipaji vyao.
Mimi najua Millard Ayo, Bdozen,Masoud kipanya,Gadna na Adam Mchomvu ndo wanao lipwa mpunga mlefu pale CMG.