Anthon Mtaka ampongeza Ismail Juma

Mzalendo_Mkweli

JF-Expert Member
Jan 30, 2012
1,988
1,175
Rais wa Shirikisho la Riadha nchini (RT) Anthon Mtaka amempongeza mwanaridha Ismail Juma iliyefanikiwa kuweka rekodi mpya ya taifa ya Tanzania iliyokuwa ikishikiliwa na Dickson Marwa tangu mwaka 2008 baada ya kumaliza nafasi ya tatu katika mbio za km 21 zilizofanyika Jijini Mattoni, Jamhuri ya Czech.

chek.png


Source : Mattoni Ústí nad Labem Half Marathon | RunCzech

Mtaka apiga marufuku wanariadha kukimbia mbio za ndondo

Update:
Let's Get Excited: Eliud Kipchoge vs Kenenisa Bekele vs Wilson Kipsang vs World Record Sunday in Berlin - LetsRun.com

Olympic champion Kipchoge wins the 2017 Berlin Marathon
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom