pantheraleo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 691
- 878
Waumini wa Dini ya Kiislamu Madhehebu ya Ansar Sunna wal-jamaa leo wameungana na waumini wengine Duniani kuadhimisha sikukuu ya Eid El-Hajj kufuatia kukamilika kwa Ibada ya Hijja mjini Makkah Saudia Arabia, ambapo jana mahujaji walikuwa katika viwanja vya Arafa.
Yono vibe
Yono vibe