Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aaah jamaa namkubali sana ila hizi PH D za kupeana hatuzitaki kabisaa!Kipanya namkubali sana ni profesa katika hii fani. Sijui kwa nini hawa chuo kikuu cha dsm idara ya fasihi au kule idara ya FPA hawajampatia shahada ya juu ya heshima (Ph D) kwa mchango wake katika jamii.
Sasa si mara 110 tumpe PhD kipanya, kwa mchango wake...... kuliko kumpatia Rais wako KJ na sisiem yake........aaah jamaa namkubali sana ila hizi PH D za kupeana hatuzitaki kabisaa!
aaah jamaa namkubali sana ila hizi PH D za kupeana hatuzitaki kabisaa!