Una fikra finyu mno.Mmeshamsahau lissu
Chakandumuz kweli hamnazo
Kama wamemsahau si ndo ufurahi sasa? Lengo lenu si mlitaka Lissu asahauliwe, sasa unalia lia nini tena hapa? Songeni mbeleee Polepole, Gwajima na Lissu.Mmeshamsahau lissu
Chakandumuz kweli hamnazo
I trust you Gwaji drop the bombKuna kila dalili kama sio kesho basi Jumatatu Gwajima atakuwa hewani tena! Alishatoa onyo na ultimatum ya siku kumi kwamba makanisa yake yasipofunguliwa ataongea mambo ya "kushangaza sana"
Kimsingi makanisa yasingefunguliwa kwa mkwara kwakuwa tayari kesi iko mahakamani na kuna utaratibu wa kisheria wa kufuta ama kuondoa, na kwakuwa ni kesi yenye vinasaba vya kisiasa mchakato wake unaweza kujaa mizengwe
Kuna mambo yanaweza kufanyika kimyakimya nyuma ya pazia na hilo jambo likaisha juu kwa ju! Ama pastor akabaki na msimamo wake na kuwa janga lingine kwa ccm baada ya lile la polepole
Muda ndio utasema kama atafuata nyayo za Polepole ama atabadili gear angani
Huyo kilaza sidhani kama hakuwa na utapiamlo utotoni, maana si kwa kukosa akili kiasi hicho.Una fikra finyu mno.
Gwajima anamtetea Lissu. Polepole anamtetea Lissu. Wote hao ni watetezi wa taifa.
Nakushauri sana uwe unafanya mazoezi ya viungo kila asubuhi & jioni ili kuimarisha afya yako kiakili.
Huko kwenu mkifiwa hamuli chakula?Mmeshamsahau lissu
Chakandumuz kweli hamnazo
Hao kwenye press zao wanamtaja Lissu.Mmeshamsahau lissu
Chakandumuz kweli hamnazo
Bwashee unahangaika kama tetea ๐
Yeye Gwajiboy atujulishe aliyehusika kumuua Mwendazake.Kuna kila dalili kama sio kesho basi Jumatatu Gwajima atakuwa hewani tena! Alishatoa onyo na ultimatum ya siku kumi kwamba makanisa yake yasipofunguliwa ataongea mambo ya "kushangaza sana"
Kimsingi makanisa yasingefunguliwa kwa mkwara kwakuwa tayari kesi iko mahakamani na kuna utaratibu wa kisheria wa kufuta ama kuondoa, na kwakuwa ni kesi yenye vinasaba vya kisiasa mchakato wake unaweza kujaa mizengwe
Kuna mambo yanaweza kufanyika kimyakimya nyuma ya pazia na hilo jambo likaisha juu kwa ju! Ama pastor akabaki na msimamo wake na kuwa janga lingine kwa ccm baada ya lile la polepole
Muda ndio utasema kama atafuata nyayo za Polepole ama atabadili gear angani
Mipasho ๐ผAna analyse facts, na Kwa kufanya hivyo hakosei, wewe fala yanakuhusu Nini? Mkija kuchumbiwa mnalalamika? Kuweni basi na tabia za kiume msichanganye watu!!!
Acha kufikiria Kwa kutumia Makalio Pimbi weeeeMmeshamsahau lissu
Chakandumuz kweli hamnazo
wewe ndio unahangaika kama tetea! tena linalohatamia mayai VizaBwashee unahangaika kama tetea ๐
Nchi haiwezi kutishwa na makataa ya mtu mmojaKuna kila dalili kama sio kesho basi Jumatatu Gwajima atakuwa hewani tena! Alishatoa onyo na ultimatum ya siku kumi kwamba makanisa yake yasipofunguliwa ataongea mambo ya "kushangaza sana"
Kimsingi makanisa yasingefunguliwa kwa mkwara kwakuwa tayari kesi iko mahakamani na kuna utaratibu wa kisheria wa kufuta ama kuondoa, na kwakuwa ni kesi yenye vinasaba vya kisiasa mchakato wake unaweza kujaa mizengwe
Kuna mambo yanaweza kufanyika kimyakimya nyuma ya pazia na hilo jambo likaisha juu kwa ju! Ama pastor akabaki na msimamo wake na kuwa janga lingine kwa ccm baada ya lile la polepole
Muda ndio utasema kama atafuata nyayo za Polepole ama atabadili gear angani
Umeshapanic ๐ผโ๏ธwewe ndio unahangaika kama tetea! tena linalohatamia mayai Viza