Serikali wapeni watumishi stahiki yao ya Annual increment kama ilivyo kwenye mikataba.Mpaka mwezi huu unaisha hawajapata hii haki yao ya msingi.
Ninyi huko mnaneemeka na kujipa kila stahiki kwa jinsi mnavyotaka.
Mama Samia hii ni dhuluma kubwa,hata Mungu hapendi.Mtapigwa mapigo saba na Mungu
Ninyi huko mnaneemeka na kujipa kila stahiki kwa jinsi mnavyotaka.
Mama Samia hii ni dhuluma kubwa,hata Mungu hapendi.Mtapigwa mapigo saba na Mungu