Anna Makinda alistahili kuongoza hoja ambayo yeye binafsi ana upande? Naomba mwongozo

Chintu

JF-Expert Member
Feb 4, 2011
5,437
3,457
Wakuu naomba mwongozo wenu. Leo hii kabla ya mjadala wa katiba kuanza nimeshangaa sana kuona spika bila aibu akiupigia kampeni kwa wabunge kupitisha muswada wa katiba. Hivi hili ni sahihi kwa mtu anayetakiwa kusimamia mjadala wa watu wenye mawazo tofauti kuwa na bias ya wazi? si angetangaza conflict of interest na kumuachia mtu neutral kuongoza mjadala?

Yaliyotokea bungeni leo yameonyesha ni kama spika alishaongea na Anna Kilango kuwa ntahakikisha utaanza wewe kuchangia, maana spidi na sauti aliyoitumia kumuita kilango kuchangia haikuwa ya kawaida na hakutaka kumsikiliza mwingine yeyote, yeye alikazana tu kuita kilango, kilango, kilangooooo!!!!! anza kuongea.

Mi nadhani mjadala mzima ulikuwa batili kwa sababu muongoza mjadala alikuwa feki!!
 
Bi kiroboto anazidi kutudhihirishia katumwa na hayupo pale kwa maslahi ya taifa
 
..............Ilibaki kidogo tu apande kwenye kiti kumuita Anna Kilango achangie, nadhani aliagizwa au alipanga dili na Anna Kilango.
 
Kuna ambaye yuko neutral katika hili?
wapo wengi tu ambao wangeacha mjadala uwe hot kwa hoja na kutupa wananchi opportunity ya kuchambua nani ana point na nani anafuka vapour. amedilute mjadala wote kwa kuwa na upande waziwazi, ndio maana hata baada ya Lissu kuongea alianza kumbeza na kusema ni maoni yake mwenyewe tu. Tuna Spika kweli hapo!
 
Wakuu naomba mwongozo wenu. Leo hii kabla ya mjadala wa katiba kuanza nimeshangaa sana kuona spika bila aibu akiupigia kampeni kwa wabunge kupitisha muswada wa katiba. Hivi hili ni sahihi kwa mtu anayetakiwa kusimamia mjadala wa watu wenye mawazo tofauti kuwa na bias ya wazi? si angetangaza conflict of interest na kumuachia mtu neutral kuongoza mjadala?
Yaliyotokea bungeni leo yameonyesha ni kama spika alishaongea na Anna Kilango kuwa ntahakikisha utaanza wewe kuchangia, maana spidi na sauti aliyoitumia kumuita kilango kuchangia haikuwa ya kawaida na hakutaka kumsikiliza mwingine yeyote, yeye alikazana tu kuita kilango, kilango, kilangooooo!!!!! anza kuongea.
mi nadhani mjadala mzima ulikuwa batili kwa sababu muongoza mjadala alikuwa feki!!

Na huyu Kilango baada ya kuitwa na shost wake badala ya kutoa hoja yeye anakazana kuwakaripia CDM waendelee kutoka nje na maneno mengine ya kejeli jambo ambalo si dhani kama ni busara kwa kiti kilichomuita Kilango kuchangia mada na kudiverge kuwagombeza wabunge waliokua wakijiondokea bungeni, Mbaya zaidi huyu Anna Kilango amejikuta anasuasua kwenye kutoa point za kuafiki sheria ya mswada husika na matokeo yake amepanic nakuongea hoja zilizopandiana bila kichwa wala miguu na kupoteza muda pasipo kuongea jambo la maana, Anna Kilango amejidhihirisha kuwa ni mnafiki mkubwa kwa kuongea maneno yanayodhihirisha kuwa yeye sio mpinga mafisadi tena kama alivyokua akijiita awali bali kwa sasa yeye ni wakili wa mafisadi kwa kushinikiza rais apewe mamlaka yanayobaka demokrasia na kutoa mianya kwa mafisadi kuzidi kuchota majasho ya walipa kodi kupitia mamlaka haya rais anayoyapambania Anna Kilango. Hii ni nazi mbovu nyingine kutoka mitume 12.
 
Wakuu naomba mwongozo wenu. Leo hii kabla ya mjadala wa katiba kuanza nimeshangaa sana kuona spika bila aibu akiupigia kampeni kwa wabunge kupitisha muswada wa katiba. Hivi hili ni sahihi kwa mtu anayetakiwa kusimamia mjadala wa watu wenye mawazo tofauti kuwa na bias ya wazi? si angetangaza conflict of interest na kumuachia mtu neutral kuongoza mjadala?
Yaliyotokea bungeni leo yameonyesha ni kama spika alishaongea na Anna Kilango kuwa ntahakikisha utaanza wewe kuchangia, maana spidi na sauti aliyoitumia kumuita kilango kuchangia haikuwa ya kawaida na hakutaka kumsikiliza mwingine yeyote, yeye alikazana tu kuita kilango, kilango, kilangooooo!!!!! anza kuongea.
mi nadhani mjadala mzima ulikuwa batili kwa sababu muongoza mjadala alikuwa feki!!

Kwani KILango cy mbunge? Uliokuwa unawataka kuongea mbona wamefyata mkia na kutoka nje? Waende wakayasemee barabarani huko maana huko ndo wameona panafaa. Cjawahi kuona wapinzani wabumbavu kama hawa ambao hata fursa wanazopewa hawatumii kinyume chake wanalaumu serikaria.
 
Zitto akija kwa kutumia masaburi yake ataanza kuropoka Makinda aka bi kiroboto ni spika makini... Safari Zitto tutakutolea uvivu, waulize madiwan Arusha na Shibuda leo alikuwa wa kwanza kutoka... We rudi utuchanganye kwa hili...
 
Makinda ni mbumbumbu kama walivyo magamba wengi. Sio kosa lake, ni kosa la aliyemweka hapo kupasha moto kiti.
 
Mnambowa wewe na wabunge wa Chadema nani ni mpumbavu?think twice usiendekeze njaa itakufanya vibaya,hata inaweza kukufikisha ku-camerouniwa.
 
Kwani KILango cy mbunge? Uliokuwa unawataka kuongea mbona wamefyata mkia na kutoka nje? Waende wakayasemee barabarani huko maana huko ndo wameona panafaa. Cjawahi kuona wapinzani wabumbavu kama hawa ambao hata fursa wanazopewa hawatumii kinyume chake wanalaumu serikaria.
wewe green guard unatumia nguvu nyingi kutetea uvunjifu wa haki, Ni vizuri sana watanzania wameona kilichojiri na wataamua nani chui na nani kondoo.
 
Mama spika yuko hapo kwa mkataba wa magamba na hatakiwi kuvunja fungu ndani ya makubaliano yao iilinde sirikali na ndo maana anabeza upinzani.
 
Kwani KILango cy mbunge? Uliokuwa unawataka kuongea mbona wamefyata mkia na kutoka nje? Waende wakayasemee barabarani huko maana huko ndo wameona panafaa. Cjawahi kuona wapinzani wabumbavu kama hawa ambao hata fursa wanazopewa hawatumii kinyume chake wanalaumu serikaria.
Kutoka ilikuwa ni lazima kwa sababu msimamizi wa mjadala alianza mipasho kabla ya hoja, ulimsikia alivyokomment baada ya hotuba ya Lissu? sasa ulitegemea nini, ni wazi haki isingetendeka.
 
natamani baba wa taifa asikie kilio cha watanzania huko aliko,hv kweli ccm imewageuka watanzania kiasi hiki,hivi kweli nchi hii imekuwa ya kikwete na maswahiba wake,hivi kweli kikwete ataacha mambo haya yaendelee kwa kipindi chote alichobakiza madarakani?kweli kweli kweli mafisadi sasa ndio wanaenda kuandika katiba mpya?
 
Back
Top Bottom