Mangi flani hivi
JF-Expert Member
- Jan 2, 2016
- 2,026
- 3,100
Rais magufuli ametengua uteuzi wa mkuu wa mkoa wa shinyanga Ana kilango malechela kwa kutoka taarifa za uongo kuhusu wafanyakazi Hewa mkoani mwake.
Source:TBC1
Source:TBC1
Sio mta samadhi kabisaa wa TBC......hapa nilipo ni eneo public so nimekuta wanaangalia.TBC bana vyombo vyote vya habari vimetoa breaking news ilibaki TBC tu. Mkuu nakushauri hama TBC