Wakuu ingawa Mungu kampenda zaidi na kumchukua mwimbaji huyu, mimi ananibariki sana kwa nyimbo zake, pia na shuhuda zake katika maisha yake aliyopitia. Naombeni msaada kwa anayefahamu nyimbo zake za kiingereza sababu alikuwa akienda mpaka Nigeria kwa huduma ya uimbaji.
Kweli Angela Chibalonza alikuwa na upako wa kipekee... may her soul rest in eternal peace!
Nyimbo zake nyingi ni kwa lugha za kiswahili, lingala na Kifaransa.( au baadhi mchanganyiko wa lugha) Za kiingereza sana sana ni Hymns, au baadhi ya tenzi za rohoni. Sina sana uhakika wa nyimbo zake kwa lugha hii!
Ebana mi sometime huwa namawazo sana,ila nikiweka nyimbo za huyu Dada nabarikiwa nakufarijika sana,kwenye tenzi ile nyimbo ya (Ndio dhamana),huwa naipenda sana. kwa kweli Mungu ambariki huko alipo,huwa sichoki kumsikiliza nyimbo zake.
Dah!! Sikujua kama kesha fariki!!!!!
pamoja na kutokuamini hayo majarida ya kimapokeo(Bible and Qur'an) wimbo wa EBENEZER wa huyo mama nausikilizaga Sana.R.I.P
Mkuu mm video zake nyingi nimezidownload you tube siamini kama ameshatangulia.nikimwangilia kwenye video naona kama yupo hai kabisa.Huyu Dada Mungu alimpa kipawa cha uimbaji.Sauti yake mpaka unazama kiroho.
Dah!! Sikujua kama kesha fariki!!!!!
pamoja na kutokuamini hayo majarida ya kimapokeo(Bible and Qur'an) wimbo wa EBENEZER wa huyo mama nausikilizaga Sana.R.I.P
Mcheki video zake tu Anjela lazima utamkubali,ingawa wote wanafanya gospel lkn anjela ana upekee kabisa,matamasha yake pia kama aliyoyafanya Korokocho sehemu fulani ipo Kenya yupo vizuri sana.
Yaweee ee uhimidiwe, uwaminifu wako unajulikana ,kwa mataifa yote ya ulimwenguuuu yaweee., umeumbaaa lakini hauku umbwaaa... na mwingine Nataka nitoke chini,toka chini kwenda juuu, chini kunamagonjwa ........
kuna mwimbo huu wa kaanami ni uckusana usiniache gizan bwana msaadawako haukomi yani huu mwimbo ilikuwa room kwetu ukipigwa ujue pepa zmeanza na hapakalik ndani kwahyo ndio unaisaka faraja.