ANIMATIONS

symone3

Member
Joined
Sep 27, 2017
Posts
5
Reaction score
2
Hello, natumaini wazima, ningependa kuongelea kuhusu animations kidogo japo haijapewa kipaumbele sana japo ni muhimu sana hasa technology inavyozidi kukua tunahitajika kuboresha matangazo yetu, short films kama za UKIMWI, unyanyasaji wa wanawake, watoto pia, games, movies na videos.

Mimi nina ujuzi kuhusu animations hasa kwenye character modeling, designing, materials, textures, ringing, lighting pia game development. Ninapokea kazi/tenda, maoni pia ushauri (mawazo ya mtu hayapingwi) kwa mawasiliano zaidi.

Contact: 0744908147
Email: saishoo97@gmail.com
 

Attachments

  • 20170927082622[2].jpg
    13.3 KB · Views: 87
  • 20170927082723[1].jpg
    16.5 KB · Views: 66
  • 20170927082822[1].jpg
    21.2 KB · Views: 67
  • 20170927082646[1].jpg
    6 KB · Views: 65
  • home.png
    125.5 KB · Views: 73
  • home3.png
    61.4 KB · Views: 66
  • sikila2.png
    31.9 KB · Views: 61
Rudi shule kijana.

Mimi ni mdau wa hiyo fani kwa muda mrefu. Naona Umejieleza vizuri sana lakini tatzo limekuja kwenye mifano uliyotoa.

Umecopy, "templates" za kizungu na kutuletea. Hebu rudi kaisome vzr Illustrator, Aftereffects na Cinema4D afu uje na mifano iliyo hai, tufanyie modelling ya Kibuyu, nyumba ya nyasi na animation watoto watoto wakiogelea mto wa mbu kusadifu ulichokiongea hapo juu.

Ukiniconvice tuje kufanya kazi za pesa siku moja..
 
Umesema ukweli. Nilitaka niulize vipi mtanzania anakuja na mifano ya template za wazungu ? Tungependa kuona mambo yetu ya kiafrika kwa kweli.
Tuone vipilipili, barabara za vumbi, matumbili. . . anything signifying Africa
 
Umesema ukweli. Nilitaka niulize vipi mtanzania anakuja na mifano ya template za wazungu ? Tungependa kuona mambo yetu ya kiafrika kwa kweli.
Tuone vipilipili, barabara za vumbi, matumbili. . . anything signifying Africa
There must be a hard work into it. Vijana hawa wakishajua kifungua visoftware basi wanahisi washaweza kila kitu. They must work in silence, success will make some noisy
 
Hivi vitu vyote jamaa kacopy google... Hizo modelling za house zinafanya na archicad/autocad/3d max/sketchup+ vray/artlantis na wala sio sijui animations.... Labda atengeneza characters za watu wenye ngoz nyeusi
 

Hahahah
 
sawa mkuu nmekuelewa
 
usivunjike moyo mkuu,animation ni ngumu but upo katika stage nzuri.umeshaiweza kabisa 2d animation??au umependa 3d mkuu
 
Unatumia software gani mkuu.


Mimi nimeanza mdogo mdogo kujifunza kwa kutumia MAYA.
(Just personal interest si kwa biashara zaidi)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…