kwa uandishi huu... Taifa lina mjaza choo tuCk hz ukienda kuban cd za bongo movie unaambiwa hamna lkn hakna djay maphia znapatkana cjui watafanyaje au kanumba alidead na fani hii.
Kwa uandishi huu kufikia taifa la viwanda ni ndoto.Siku hizi ukienda kuban CD za Bongo movie unaambiwa hamna lakini D jay Maphia zinapatikana, sijui watafanyaje au kanumba alidead na fani hii?
Mtani kwema? umenisaidia kuuliza swali nashukuru.Ndio umeandika nini?
Niko poa mtani..Mtani kwema? umenisaidia kuuliza swali nashukuru.
Naona uandishi wa mwendokasi umekuacha njiani!Niko poa mtani..
Hahahaah Mtani uandishi wa hawa vijana siku hizi ni taabu tupu. Hadi ujue ujumbe ulioandikwa hadi uumize kichwa kama unafanya mtihani wa hisabati.Naona uandishi wa mwendokasi umekuacha njiani!
Na hapo hawajandika zile alphabet pendwa zile x jasho lazima likutokeHahahaah Mtani uandishi wa hawa vijana siku hizi ni taabu tupu. Hadi ujue ujumbe ulioandikwa hadi uumize kichwa kama unafanya mtihani wa hisabati.
Sikushangai ni kawaida yako huwa hueleweki.Siku hizi ukienda kuban CD za Bongo movie unaambiwa hamna lakini D jay Maphia zinapatikana, sijui watafanyaje au kanumba alidead na fani hii?
ni wakati tu,kanumba mwenyewe alikua anavuruga tu,angekwepo yangekua yaleyaleSiku hizi ukienda kuban CD za Bongo movie unaambiwa hamna lakini D jay Maphia zinapatikana, sijui watafanyaje au kanumba alidead na fani hii?