AlFahIm JF-Expert Member Oct 1, 2009 312 2 Jan 10, 2010 Thread starter #41 nyani<abiziani> said: first lady wao mkali kishenzi. mechi imeshaanza Click to expand... Nilitaka kusema toka mwanzo hiyo......umeniwahi
nyani<abiziani> said: first lady wao mkali kishenzi. mechi imeshaanza Click to expand... Nilitaka kusema toka mwanzo hiyo......umeniwahi
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Jan 10, 2010 #42 keita kapiga foul 18 lakini unatoka nje,DK ya 48 mali wanafanya mashambulizi .kipa anaokoa
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Jan 10, 2010 #43 dk 50 kanuti anakosa goli ndani ya box
AlFahIm JF-Expert Member Oct 1, 2009 312 2 Jan 10, 2010 Thread starter #44 Mali wameanza uzuri second half
I Idda Member May 22, 2009 64 0 Jan 10, 2010 #45 nyani<abiziani> said: first lady wao mkali kishenzi. mechi imeshaanza Click to expand... Wanawake ni maua
nyani<abiziani> said: first lady wao mkali kishenzi. mechi imeshaanza Click to expand... Wanawake ni maua
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Jan 10, 2010 #46 CAF wanatia aibu na mikadi yao ya substitution..wameshindwa kununua za elektronics? wanatumia kalenda. vijec vya angola havina utani
CAF wanatia aibu na mikadi yao ya substitution..wameshindwa kununua za elektronics? wanatumia kalenda. vijec vya angola havina utani
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Jan 10, 2010 #47 dk 63 mali wanaumiliki mpira kwa dk kama 1 hivi...madrid kashampiga mtu 2
AlFahIm JF-Expert Member Oct 1, 2009 312 2 Jan 10, 2010 Thread starter #48 Duh! Penalty Angola wamepata....
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Jan 10, 2010 #49 angola wamepata penati dk 65
AlFahIm JF-Expert Member Oct 1, 2009 312 2 Jan 10, 2010 Thread starter #50 Angola 3 Mali 0 Mpaka first lady kafurahi anacheza....
Saint Ivuga JF-Expert Member Aug 21, 2008 54,363 58,386 Jan 10, 2010 #51 gilbeto ameipiga 3..0,dk ya 68
Eqlypz JF-Expert Member May 24, 2009 4,065 632 Jan 10, 2010 #52 Mali kurudi kwenye hii mechi kazi. Hivi timu zote za afrika zinazofanya vizuri zina makocha wa kigeni?
Mali kurudi kwenye hii mechi kazi. Hivi timu zote za afrika zinazofanya vizuri zina makocha wa kigeni?
AlFahIm JF-Expert Member Oct 1, 2009 312 2 Jan 10, 2010 Thread starter #53 Penalty yapili hiyo ya Angola.....
Wacha1 JF-Expert Member Dec 21, 2009 16,681 8,233 Jan 10, 2010 #58 Kishindo cha Palancras Negras Flavio alipofunga goli la kwanza
AlFahIm JF-Expert Member Oct 1, 2009 312 2 Jan 10, 2010 Thread starter #59 nyani<abiziani> said: CAF wanatia aibu na mikadi yao ya substitution..wameshindwa kununua za elektronics? wanatumia kalenda. vijec vya angola havina utani Click to expand... Walikuwa wamesahau kulicharge board naona dakika za mwisho limeonekana....
nyani<abiziani> said: CAF wanatia aibu na mikadi yao ya substitution..wameshindwa kununua za elektronics? wanatumia kalenda. vijec vya angola havina utani Click to expand... Walikuwa wamesahau kulicharge board naona dakika za mwisho limeonekana....