Angola 2010: Africa Cup of Nations updates

keita kapiga foul 18 lakini unatoka nje,DK ya 48 mali wanafanya mashambulizi .kipa anaokoa
 
CAF wanatia aibu na mikadi yao ya substitution..wameshindwa kununua za elektronics? wanatumia kalenda.
vijec vya angola havina utani
 
Mali kurudi kwenye hii mechi kazi.
Hivi timu zote za afrika zinazofanya vizuri zina makocha wa kigeni?
 
_47079333_angolavmali2466.jpg



Kishindo cha Palancras Negras

Flavio alipofunga goli la kwanza
 
Back
Top Bottom