ANGALIZO: Ongezeko la joto nchini mwezi Machi

ANGALIZO: Ongezeko la joto nchini mwezi Machi

BEHOLD

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
5,056
Reaction score
10,729
Kawaida inapofika mwezi wa March kila mwaka kiwango cha joto kali huongezeka mara dufu katika maeneo mengi Afrika hasa Afrika ya Mashariki kati na Africa ya Magharibi.

Hii inatokana kuwa maeneo haya yapo karibu mno na mstari wa ikweta na jua huwa lipo usawa na mstari wa ikweta mwezi March.

Kinachotokea ni kuongezeka kwa joto kali, ardhi kuwa kame, upungufu wa maji ardhini, upungufu wa maji ktk miili yetu wanaadam, maradhi yanayosababishwa na ongezeko la joto kama vile pressure, vipele ktk ngozi na maumivu ya kichwa na hata bawasili na vidonda vya tumbo.

Kinachotakiwa kufanya sisi ni haya yafuatayo

1. Kunywa maji kwa wingi kuliko hali ya kawaida unayokunywa(kiwango cha juu lita 5. Cha chini glass 12 kwa siku )

2. Kufanya mazoezi ili kupunguza na kujiepusha na pressure na kukupa spidi ya kunywa maji mingi

3. Kutokutembea masafa marefu yasiokuwa na ulazima

4. Kukinga maji na kuyahifadhi ili kuweka akiba kwa matumizi nyumbani ktk kipindi hichi cha ukame hasa wa maji

Kubwa zaidi kumbuka kunywa maji kwa wingi kadiri ya uwezo wako

Tambua kuwa

"Kunywa maji kwa kuona kiu tu jijue kuwa akili yako imechoka"
 
Aisee ndio maana kunatokota namna hii!
 
Uko right mkuu,hili joto liliopo sasa linafukuta mno.
 
Kawaida inapofika mwezi wa March kila mwaka kiwango cha joto kali huongezeka mara dufu katika maeneo mengi Afrika hasa Afrika ya Mashariki kati na Africa ya Magharibi.

Hii inatokana kuwa maeneo haya yapo karibu mno na mstari wa ikweta na jua huwa lipo usawa na mstari wa ikweta mwezi March.

Kinachotokea ni kuongezeka kwa joto kali, ardhi kuwa kame, upungufu wa maji ardhini, upungufu wa maji ktk miili yetu wanaadam, maradhi yanayosababishwa na ongezeko la joto kama vile pressure, vipele ktk ngozi na maumivu ya kichwa na hata bawasili na vidonda vya tumbo.

Kinachotakiwa kufanya sisi ni haya yafuatayo

1. Kunywa maji kwa wingi kuliko hali ya kawaida unayokunywa(kiwango cha juu lita 5. Cha chini glass 12 kwa siku )

2. Kufanya mazoezi ili kupunguza na kujiepusha na pressure na kukupa spidi ya kunywa maji mingi

3. Kutokutembea masafa marefu yasiokuwa na ulazima

4. Kukinga maji na kuyahifadhi ili kuweka akiba kwa matumizi nyumbani ktk kipindi hichi cha ukame hasa wa maji

Kubwa zaidi kumbuka kunywa maji kwa wingi kadiri ya uwezo wako

Tambua kuwa

"Kunywa maji kwa kuona kiu tu jijue kuwa akili yako imechoka"
Umechambua kitaalamu mno hasa hapo kwenye madhara yatokanayo na joto kiafya, hakika umepiga penyewe kabisa. Asante kwa elimu murua mkuu
 
Umechambua kitaalamu mno hasa hapo kwenye madhara yatokanayo na joto kiafya, hakika umepiga penyewe kabisa. Asante kwa elimu murua mkuu

Thanks Mkuu. Tunapiga vita magonjwa ya uzembe!
 
Ndio maana nikiwa kwenye daladala huwa nasikia harufu ya mishikaki, kumbe watu wanapigika na joto.
 
Leo kichwa changu kilichemka ase


Yaani nimefika home nimejimwagia maji
 
Hali ya kawaida maana linaandaa mvua kipindi cha masika!
 
Kawaida inapofika mwezi wa March kila mwaka kiwango cha joto kali huongezeka mara dufu katika maeneo mengi Afrika hasa Afrika ya Mashariki kati na Africa ya Magharibi.

Hii inatokana kuwa maeneo haya yapo karibu mno na mstari wa ikweta na jua huwa lipo usawa na mstari wa ikweta mwezi March.

Kinachotokea ni kuongezeka kwa joto kali, ardhi kuwa kame, upungufu wa maji ardhini, upungufu wa maji ktk miili yetu wanaadam, maradhi yanayosababishwa na ongezeko la joto kama vile pressure, vipele ktk ngozi na maumivu ya kichwa na hata bawasili na vidonda vya tumbo.

Kinachotakiwa kufanya sisi ni haya yafuatayo

1. Kunywa maji kwa wingi kuliko hali ya kawaida unayokunywa(kiwango cha juu lita 5. Cha chini glass 12 kwa siku )

2. Kufanya mazoezi ili kupunguza na kujiepusha na pressure na kukupa spidi ya kunywa maji mingi

3. Kutokutembea masafa marefu yasiokuwa na ulazima

4. Kukinga maji na kuyahifadhi ili kuweka akiba kwa matumizi nyumbani ktk kipindi hichi cha ukame hasa wa maji

Kubwa zaidi kumbuka kunywa maji kwa wingi kadiri ya uwezo wako

Tambua kuwa

"Kunywa maji kwa kuona kiu tu jijue kuwa akili yako imechoka"
asante lakini sentensi ya mwisho ni matusi, avoid such ending sentences! Umeharibu kabisa siwezi kumforwardia mtu ninayemheshimu post hii!
 
asante lakini sentensi ya mwisho ni matusi, avoid such ending sentences! Umeharibu kabisa siwezi kumforwardia mtu ninayemheshimu post hii!

Akili kuchoka ni tusi mkuu.?!!
 
Leo imefikia 38%. Hatari sana
 
Very simple ni kwamba region coast ndo masika yanaanza
 
Back
Top Bottom