Angalizo: Mnaosubiria Transfer Tuulizeni Sisi Wa 2014

Angalizo: Mnaosubiria Transfer Tuulizeni Sisi Wa 2014

silent_soldier

Senior Member
Joined
Aug 10, 2015
Posts
193
Reaction score
62
Habarini wa JF

Mimi ni mmoja wa wakereketwa wa Elimu. Nimemaliza kidato cha 6 mwaka 2014, nilipata DIV III.10

Nilikosa 1st Application mwaka 2014 and kwa kuwa nilikuwa msange JKT 823KJ niliporudi nilichelewa kufanya 2nd round application. Kwa kuwa nina ndoto ya kuwa daktari sikuwa na jinsi kwenye list ya vyuo vya afya kilibaki KIU. Hivyo nikawa admitted at Kampala Inter. University academic year 2014/2015.

Baadae kabla ya kwenda KIU nikajaribu kufanya Transfer. TCU wakakataa my recommendation lettler pamoja na letter ya approval from HKMU. Baadae TCU wakazuia Transfer kwa watu wanaoomba Transfer ya kozi Moja kwenda Kozi hiyohiyo chuo kingine

Hivyo Transfer yangu ya MD from KIU to MD at HKMU was not approved.

Sasa nawashauri wale mnaosema at mnasubiri Transfer mwaka huu, acheni kuota Transfer sio rahisi kihivyo mnavyofikiri. Kabla hujafanya jambo jaribu kuomba ushauri kwa watu wenye ufahamu.

Well baada ya matatizo ya KIU mapema July 2015 niliacha chuo nika reapply mwaka huu ambapo kwa bahati mbaya nilikosa 1st selection. Nimefanya reapply kwenda St. Joseph College Of Health and Allied Science ambacho ni kipya kabisa na kipo Boko Jijini Dar es salaam.

Nawashangaa wale mnaoanza kuwa ambia watu St. Joe kibaya!!! Msikariri kuwa Samaki mmoja akioza niwote. Kabla sija apply chuo hiki kipya tayari nikiwa KIU nilienda kuomba wanipokee kwa Transfer, nimeshafika nimepata hadi nafasi ya kwende Anatomy Lab...

Hawa mnaowasema at wanatumia Mtaala wa kihindi, wamejipanga na hawatatumia Huo mtaala. Mtaala watakao tumia ni ule wa NACTE na TCU chini ya wizara ya Elimu.

Msitukatishe tamaa tunaoenda St. Joseph mpya ya Boko at kisa nyie waalimu yaliwakuta huko Arusha. Hilo sio Jambo zuri hata kidogo.

Nikuulize wewe kama unataka Medicine na ukaambiwa uchague hivi vyuo utachagua kipi?

1. KIU
2. IMTU
3. SJCHS (ST. JOSEPH BOKO)

Hakuna kitu kibaya kama kukariri na kubeza kwa kufuata mkumbo. Fanya maamuzi yenye kuleta tija. Kwa wale wenye ndoto za kuwa Madaktari karibuni tutakutana St. Joseph Mungi akipenda.

Lakini usikae kujidanganya at TRANSFER ITAKUSAIDIA!!!

NI HAYO TU silent_soldier
 
Last edited by a moderator:
bro vp kuhusu ada na michango ya hapo na kuna mtu ana phy-C chem-B na bio-C...anajiulza akichaguliwa educ ataruhuswa kuhama maana alijaza education na faculty zngne na kweny first round ya TCU amepita yaan jina lake halpo kwa wale wanaotakiwa kurudia
 
bro vp kuhusu ada na michango ya hapo na kuna mtu ana phy-C chem-B na bio-C...anajiulza akichaguliwa educ ataruhuswa kuhama maana alijaza education na faculty zngne na kweny first round ya TCU amepita yaan jina lake halpo kwa wale wanaotakiwa kurudia

Asiogope kujaribu muda ukifika, kuna jamaa angu last year aluhama toka Education with Psychology TEKU mpaka MD @HKMU
 
Habarini wa JF

Mimi ni mmoja wa wakereketwa wa Elimu. Nimemaliza kidato cha 6 mwaka 2014, nilipata DIV III.10

Nilikosa 1st Application mwaka 2014 and kwa kuwa nilikuwa msange JKT 823KJ niliporudi nilichelewa kufanya 2nd round application. Kwa kuwa nina ndoto ya kuwa daktari sikuwa na jinsi kwenye list ya vyuo vya afya kilibaki KIU. Hivyo nikawa admitted at Kampala Inter. University academic year 2014/2015.

Baadae kabla ya kwenda KIU nikajaribu kufanya Transfer. TCU wakakataa my recommendation lettler pamoja na letter ya approval from HKMU. Baadae TCU wakazuia Transfer kwa watu wanaoomba Transfer ya kozi Moja kwenda Kozi hiyohiyo chuo kingine

Hivyo Transfer yangu ya MD from KIU to MD at HKMU was not approved.

Sasa nawashauri wale mnaosema at mnasubiri Transfer mwaka huu, acheni kuota Transfer sio rahisi kihivyo mnavyofikiri. Kabla hujafanya jambo jaribu kuomba ushauri kwa watu wenye ufahamu.

We jamaa ulkua kombania gani msange mwaka jana..
 
Habarini wa JF

Mimi ni mmoja wa wakereketwa wa Elimu. Nimemaliza kidato cha 6 mwaka 2014, nilipata DIV III.10

Nilikosa 1st Application mwaka 2014 and kwa kuwa nilikuwa msange JKT 823KJ niliporudi nilichelewa kufanya 2nd round application. Kwa kuwa nina ndoto ya kuwa daktari sikuwa na jinsi kwenye list ya vyuo vya afya kilibaki KIU. Hivyo nikawa admitted at Kampala Inter. University academic year 2014/2015.

Baadae kabla ya kwenda KIU nikajaribu kufanya Transfer. TCU wakakataa my recommendation lettler pamoja na letter ya approval from HKMU. Baadae TCU wakazuia Transfer kwa watu wanaoomba Transfer ya kozi Moja kwenda Kozi hiyohiyo chuo kingine

Hivyo Transfer yangu ya MD from KIU to MD at HKMU was not approved.

Sasa nawashauri wale mnaosema at mnasubiri Transfer mwaka huu, acheni kuota Transfer sio rahisi kihivyo mnavyofikiri. Kabla hujafanya jambo jaribu kuomba ushauri kwa watu wenye ufahamu.

We jamaa ulkua kombania gani msange mwaka jana..

Nilikuwa Danger Coy
 
Mh unazidi kuwapoteza watanzania eti st joseph ni nzr huo ni uongo tena ww nahis ni hkl ndo maana unang'ang'ani uozo wa hivi vyuo

Km mmoja wa waathirika wa st joseph nileacha chuo sishauri mtu yeyote ajazi hivi vyuo ni uozo mtupu kiwe kipia au sio kipia ni uozo tu
 
Mh unazidi kuwapoteza watanzania eti st joseph ni nzr huo ni uongo tena ww nahis ni hkl ndo maana unang'ang'ani uozo wa hivi vyuo

Km mmoja wa waathirika wa st joseph nileacha chuo sishauri mtu yeyote ajazi hivi vyuo ni uozo mtupu kiwe kipia au sio kipia ni uozo tu

Poleni walimu
 
Mwaka jana nimefanya transfer kwa mtu wa Education, kwa mwaka mzima mkopo amekuja kupata semista ya mwisho ya mwaka wa 1. Hivo imebidi tumplipie kila kitu kuanzia ada na malazi.plz kama unategemea mkopo na bila mkopo husomi, nakushauri ACHANA na TRANSFER, kama umepata mkopo na hutak hicho chuo na unataka kuomba tena mwakan kumbuka pia kuwa TCU na BODI YA MIKopo watakapoleta tena masharti mapya uwe tayari kukubaliana nayo.
 
Wakuu mimi sikubahatika ku-upply mkopo Mwaka huu kutokana na matatizo binafsi je kuna uwezekano nikajilipia mwenyewe kila kitu kwa first year afu nika-upply mkopo mwakani??
 
Wakuu mimi sikubahatika ku-upply mkopo Mwaka huu kutokana na matatizo binafsi je kuna uwezekano nikajilipia mwenyewe kila kitu kwa first year afu nika-upply mkopo mwakani??

inawezekana kabisa vuta subira adi next academic year uombe,,
 
Na bumu huwa lina zinguaga pia! Unaweza kusugua benji mwaka mzma ukisubiri michakato ikamilike! unapofanya transfer usisahau vt kama hvyo!
 
Habarini wa JF

Mimi ni mmoja wa wakereketwa wa Elimu. Nimemaliza kidato cha 6 mwaka 2014, nilipata DIV III.10

Nilikosa 1st Application mwaka 2014 and kwa kuwa nilikuwa msange JKT 823KJ niliporudi nilichelewa kufanya 2nd round application. Kwa kuwa nina ndoto ya kuwa daktari sikuwa na jinsi kwenye list ya vyuo vya afya kilibaki KIU. Hivyo nikawa admitted at Kampala Inter. University academic year 2014/2015.

Baadae kabla ya kwenda KIU nikajaribu kufanya Transfer. TCU wakakataa my recommendation lettler pamoja na letter ya approval from HKMU. Baadae TCU wakazuia Transfer kwa watu wanaoomba Transfer ya kozi Moja kwenda Kozi hiyohiyo chuo kingine

Hivyo Transfer yangu ya MD from KIU to MD at HKMU was not approved.

Sasa nawashauri wale mnaosema at mnasubiri Transfer mwaka huu, acheni kuota Transfer sio rahisi kihivyo mnavyofikiri. Kabla hujafanya jambo jaribu kuomba ushauri kwa watu wenye ufahamu.

Well baada ya matatizo ya KIU mapema July 2015 niliacha chuo nika reapply mwaka huu ambapo kwa bahati mbaya nilikosa 1st selection. Nimefanya reapply kwenda St. Joseph College Of Health and Allied Science ambacho ni kipya kabisa na kipo Boko Jijini Dar es salaam.

Nawashangaa wale mnaoanza kuwa ambia watu St. Joe kibaya!!! Msikariri kuwa Samaki mmoja akioza niwote. Kabla sija apply chuo hiki kipya tayari nikiwa KIU nilienda kuomba wanipokee kwa Transfer, nimeshafika nimepata hadi nafasi ya kwende Anatomy Lab...

Hawa mnaowasema at wanatumia Mtaala wa kihindi, wamejipanga na hawatatumia Huo mtaala. Mtaala watakao tumia ni ule wa NACTE na TCU chini ya wizara ya Elimu.

Msitukatishe tamaa tunaoenda St. Joseph mpya ya Boko at kisa nyie waalimu yaliwakuta huko Arusha. Hilo sio Jambo zuri hata kidogo.

Nikuulize wewe kama unataka Medicine na ukaambiwa uchague hivi vyuo utachagua kipi?

1. KIU
2. IMTU
3. SJCHS (ST. JOSEPH BOKO)

Hakuna kitu kibaya kama kukariri na kubeza kwa kufuata mkumbo. Fanya maamuzi yenye kuleta tija. Kwa wale wenye ndoto za kuwa Madaktari karibuni tutakutana St. Joseph Mungi akipenda.

Lakini usikae kujidanganya at TRANSFER ITAKUSAIDIA!!!

NI HAYO TU silent_soldier

Mhhhh labla haukua bahati yako
mbona watu kibao tulifanya transfer na ikafaa
Usiwakatishe tamaa wenzio
Over!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom