bersalu
Member
- Aug 11, 2011
- 10
- 1
Hawa jamaa wanalazimisha vita ili watumie bunduki badala ya majukwaa ya siasa, ebo!uchaguzi mdogo inaonekana ni agenda ya siri ya ccm tunapaswa kuwa makini katika hili
Hawa jamaa wanalazimisha vita ili watumie bunduki badala ya majukwaa ya siasa, ebo!uchaguzi mdogo inaonekana ni agenda ya siri ya ccm tunapaswa kuwa makini katika hili
Mkuu katiba hii ya kipuuzi iliwekwa kwa lengo la kumlinda akishatangazwa na tume hakuna pa kuhoji ushindi wake tena.Kama kweli Arusha haki imetolewa, na huko segerea wafanye hivyo haraka sana.