Angalizo: Baadhi ya dalili za vidonda vya tumbo hufanana na dalili za magonjwa ya moyo

Hii hali ilinisumbua sana mwanzoni nilikuwa najua nina ugonjwa wa moyo, ila sasaivi nadunda tu.. Adi nimeizoea najua kabisa nikila maharage au dagaa usiku lazima niumwe kifua upande wa kushoto sina wasiwasi
 
Mm pia ninatatizo la kifua kinauma mpk upande wa mgongoni,nimeshapima moyo Mara mbili majibu yako vizuri.nimepimwa h.pyrol Mara 4kipimo kimoja ndio kiluandika positive lkn vitatu vikaandika negative...
vipi dada ulipona?
 
ni ipi hiyo mkuu

Hua sielewi mtu ana solution ya jambo flan then hasemi! It’s pure evil in limited view,sio kila kitu ni fursa! Vingine you do for karma and that’s it. Anyway anza na hiyo baking soda-hiyo ni base itaenda kunetralize acid mwilini km walivyoandika hapo juu wengine!
 
hiyo nimeshatumia sana mkuu lakini bado
 
Hongera kwa dr maana mi ninateseka Mpaka leo hii na tumbo linajaa gest mnoo nimetumia dawa Mpaka nimechoka
Nlikua na hilo tatzo kwa mda mrefu ,kuna Mzee mmoja yupo mwanza alinipatia dawa za asili mwaka jana saiv nipo Safi kabsa,,,
 
Kama tumbo linajaa basi ni rahisi. Tengeneza mchanganyiko wa limao, tangawizi na kitunguu swaumu, chemsha kisha kunywa. Kiasi ni kikombe kimoja cha chai. Fanya hivyo kila jioni kabla ya kula. Baada ya wiki moja utapata majibu. Kumbuka mchanganyiko huo hutengeneza alkaline solution inayokwenda kupunguza wingi wa acid tumboni. Pia kama una tatizo la kufunga chòo yaani constipation, nalo litaisha kabisa.
 
Watu wana shida humu wewe unakuja kukenua kenua humu,majukwaa ya kunenua mbona yapo mengi
Shida zako sasa unataka kunifia mimi? Jingaa kabisa


Btw nilikuquote wewe au kiherehere na kuwashwashwa kwako ukadandia gari kwa mbele?

Peleka uswahili na stress zako kuleee
 
Mimi tatizo langu la acid ni hlo hlona nilitumia muongozo wa daktar nikakaa sawa sahv nimejifungua sasa chakula king ni ndizi kwangu Kwa hii miez ya mwanzo na tatizo naona linataka kujirud nifanyeje na ninanyonyesha ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…