Uhuru wa kuabudu umezungumzwa kikatiba!
Wako wanaoabudu Watu... Ng'ombe... Mizimu... Mapango... Milima... Mapepo... Malaika... au viumbe wengine wanaojulikana na wasiojulikana minghairi ya muumba. Ama wengine "hujifanya" hawaamini chochote hadharani huku wakiuficha ushirikina wao nyoyoni. Waacheni waabudu ama waamini msichokiamini na wao midhali hawaamini mnavyomini hakuna vita!!!!
Muwe na sikukuu njema yenye upendo na amani tele wandugu πππ