Angalieni simu zenu WCF wanaita

Mimi Mbona Sijapigiwa, wakati Nilijibu maswali yote kwa Ufasaha. Acheni Uzushi Basi..
 
Mimi Mbona Sijapigiwa, wakati Nilijibu maswali yote kwa Ufasaha. Acheni Uzushi Basi..
Unayo marking scheme? Itabidi ujiangalia sana kwa kujiamini huko.
 
kazi watu washapewa inasemekana ila interview ni funika kombe tu
 
d

duh. wameweka mbali sijui kwanini wapo slow yani written mwez wa 3 oral wa 7 kazini sindioitakua mwakani
Inaweza ikawa kabla ya sikukuu ya X.mass mkuu japo inaonekana matokeo yatakua Dec.na kuriport January 2018!
 
Bado wanaiita hadi leo au ndio changa la moto
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…