Mkuu ni kweli nilithibitisha hivyo na nilisema TAKUKURU walituma vijana kufanya uchunguzi. Ninachotaka kuthibitisha ni nani amepigiwa simu leo ? Na kama amepigiwa kaambiwa interview lini na wapi? Tatizo watu wamekua waongo sana. Aliyepigiwa ajitokeze hapa aseme....