nana_
JF-Expert Member
- May 17, 2021
- 667
- 1,494
UDOM Inatoa wanafunzi majuha sana kama huyo chaliii.
hakuna sababu ya kutaja taasisi ya elimu kisa kosa la mtu mmoja, wawili or whatever. Kuna waliomaliza UDOM na wako vizuri tu,,,makasiriko yako ungepeleka kwa huyo muusika na sio kuchafua taasisi za watu