Mzawa_G
JF-Expert Member
- Feb 27, 2014
- 667
- 1,467
Utakuta watu wamebeba huku huyu wa chini akiwa na hali fulani kama ya kuelea kabisa bila ya kujali mzigo alioubeba mgongoni ila bado hakukuwa na chance ya yeye kuanguka hadi chini
Inatuaminisha kutokuwepo kwa kani ya uvutano katika eneo fulani au kani ya uvutano kuwa ndogo zaidi haya ni moja ya matokeo yake ambapo kitu au binadamu hupoteza kabisa uzito au tuseme hujihisi kuwa mwepesi kiasi kwamba huepelekea yeye kuelea katika eneo lolote huko anga za mbali ndani ya chombo
Katika eneo la Low earth orbit uwepo wa kani ya uvutano ni mkubwa sana ambapo kasi ya chombo pekee ndio huitajika kuweza kushindana na kani ya uvutano ya dunia yetu na kuwezesha chombo hicho kuweza kubaki katika eneo hilo kikizunguka dunia yetu
Angalia wanaanga wote wamekuwa wepe si kiasi kwamba hata wakibebana bado hawawezi kuhisi aina yoyote ya uzito
Moudyswema
Tanzaniascienceyetu
AstronomyKiswahili
Inatuaminisha kutokuwepo kwa kani ya uvutano katika eneo fulani au kani ya uvutano kuwa ndogo zaidi haya ni moja ya matokeo yake ambapo kitu au binadamu hupoteza kabisa uzito au tuseme hujihisi kuwa mwepesi kiasi kwamba huepelekea yeye kuelea katika eneo lolote huko anga za mbali ndani ya chombo
Katika eneo la Low earth orbit uwepo wa kani ya uvutano ni mkubwa sana ambapo kasi ya chombo pekee ndio huitajika kuweza kushindana na kani ya uvutano ya dunia yetu na kuwezesha chombo hicho kuweza kubaki katika eneo hilo kikizunguka dunia yetu
Angalia wanaanga wote wamekuwa wepe si kiasi kwamba hata wakibebana bado hawawezi kuhisi aina yoyote ya uzito
Moudyswema
Tanzaniascienceyetu
AstronomyKiswahili