Angalia mfano huu unaweza kukusaidia

Angalia mfano huu unaweza kukusaidia

J.lee

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2012
Posts
1,672
Reaction score
834
"Bwana Mungu akasema, si vema huyo mtu (Adamu) awe peke yake nitamfanyia msaidizi wa kua nae. Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito naye akalala kisha akatwaa ubavu wake mmoja na akaufanya mwanamke akamleta kwa Adamu".(MWANZO 2:18-20)

Maana yake ni nini basi kumbe linapokuja swala la nani awe mume ama mke ni Mungu mwenyewe anapaswa asimame kukuletea msaidizi wa kufanana na wewe kulala usingizi kwa maisha ya sasa ni kujiheshimu,Imani kwa Mungu na uvumilivu wa kungoja au kusubiri Wakati wa Bwana,ndiyo njia zitakazo kuongoza kumpata Mwenza wa Maisha yako atokae kwa bwana

Kumbuka apandacho mtu ndicho avunacho siku zote usipotulia na kungoja wakati wa bwana jua kuhangaika ni lazima lakini ukisubiri na kua mwaminifu atakupa tu Mungu hufanya kazi pamoja na wampendao. Pia anasema msijisumbue kwa neno lolote bali kwa kusali kuomba na kushkuru na haja zenu zijulikane na Mungu. nawatakia usiku mwema na maandalizi mema ya ibada ya kesho..........
 
Molembe pita na hapa husband wangu.
 
Last edited by a moderator:
Ubarikiwe mpendwa. Nitasubiri wakati wa Mungu utimie.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
:: tokaa kuleeee, umetumwa nn ww. una mapepo sio bure::::

:::Nenda zako hukoo, kamwambie Flora mbasha na mumewe, alafu pia Gwajima, una umwa nn

:: Mnatumia dini kucheza na akili za watu, alafu mnatomb..a wake za watu...nina zako...

""" Una pepo sio bure ww


"Bwana Mungu akasema, si vema huyo mtu (Adamu) awe peke yake nitamfanyia msaidizi wa kua nae. Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito naye akalala kisha akatwaa ubavu wake mmoja na akaufanya mwanamke akamleta kwa Adamu".(MWANZO 2:18-20)

Maana yake ni nini basi kumbe linapokuja swala la nani awe mume ama mke ni Mungu mwenyewe anapaswa asimame kukuletea msaidizi wa kufanana na wewe kulala usingizi kwa maisha ya sasa ni kujiheshimu,Imani kwa Mungu na uvumilivu wa kungoja au kusubiri Wakati wa Bwana,ndiyo njia zitakazo kuongoza kumpata Mwenza wa Maisha yako atokae kwa bwana

Kumbuka apandacho mtu ndicho avunacho siku zote usipotulia na kungoja wakati wa bwana jua kuhangaika ni lazima lakini ukisubiri na kua mwaminifu atakupa tu Mungu hufanya kazi pamoja na wampendao. Pia anasema msijisumbue kwa neno lolote bali kwa kusali kuomba na kushkuru na haja zenu zijulikane na Mungu. nawatakia usiku mwema na maandalizi mema ya ibada ya kesho..........
 
Ameen..tena kesho niwah nikae bench la4 tu baada ya wanakwaya
 
:: tokaa kuleeee, umetumwa nn ww. una mapepo sio bure::::

:::Nenda zako hukoo, kamwambie Flora mbasha na mumewe, alafu pia Gwajima, una umwa nn

:: Mnatumia dini kucheza na akili za watu, alafu mnatomb..a wake za watu...nina zako...

""" Una pepo sio bure ww

Asante MR PRESIDENT sijajua kati yangu na wewe nani mwenye pepo bt nashkuru kwa mawazo yako na mtazamo wako. Nimekusamehe bure najua weekend aafu saa mbaya hizi..........
 
Last edited by a moderator:
:: tokaa kuleeee, umetumwa nn ww. una mapepo sio bure::::

:::Nenda zako hukoo, kamwambie Flora mbasha na mumewe, alafu pia Gwajima, una umwa nn

:: Mnatumia dini kucheza na akili za watu, alafu mnatomb..a wake za watu...nina zako...

""" Una pepo sio bure ww
Teh mtumishi wa mungu J.lee usifadhaike mtetezezi wako u hai
hata kama ukisemwa na kutukanwa
 
Last edited by a moderator:
Mungu akuzidishie imani, faraja, matamaini na mapendo amini nakwambia umenena kweli ndugu
 
Back
Top Bottom