Angalia kwa makini halafu utafakari.

Shida na raha

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
3,773
Reaction score
3,474
Kama kichwa cha habari kinavyosema, angalia picha ambayo inaonesha eneo ambalo walishambuliwa ndugu zetu. Mchoro unaona umekaa kama nyoka huo ni mto. Sehemu waliyokaa ni pembe zote za dunia ni msitu mtupu jionee mwenyewe.
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema, angalia picha ambayo inaonesha eneo ambalo walishambuliwa ndugu zetu. Mchoro unaona umekaa kama nyoka huo ni mto. Sehemu waliyokaa ni pembe zote za dunia ni msitu mtupu jionee mwenyewe.

Aisee inatisha
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema, angalia picha ambayo inaonesha eneo ambalo walishambuliwa ndugu zetu. Mchoro unaona umekaa kama nyoka huo ni mto. Sehemu waliyokaa ni pembe zote za dunia ni msitu mtupu jionee mwenyewe.
sijaelewa kitu
 
The area is beautiful though. Macho yanapendezwa na rangi yake, tatizo yanayofanyika humo.
 
Kwahiyo hapo ndio walikuwa wanapolinda aman. Yan kama sielewi ivi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ