Angalia huu mchongo kisha ni pm

Angalia huu mchongo kisha ni pm

wakyagara wakinyora

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2013
Posts
735
Reaction score
288
Kwa anayehitaji,nauza kiwanja,kiko mbezi-tangibovu(samaki),kina hati halali,fence,maji na umeme-tshm 280 million but negotiatable.serious buyers naomba mni pm,kabla ya kununua,mnunuzi atapewa copy ya hati ili aende akajiridhishe popote pale atakapoona panamfaa,akisharudhika kwamba ni halali basi tunaweza ongea biashara.pia kama kuna mtu yeyote atakayefanikisha uuzaji wa kiwanja hiki(atakayeleta mteja atapata zawadi ya tshs million moja cash.
mtu aliye serious ani pm-only serious buyers
 
Hujasema kina size gani babangu. Manake kwa hiyo bei! Lazma kizidi uwanja wa mpira
 
Well noted mkuu. ngoja tuchangamkie u.-middlemen wenda tukapata rupu rupu la "m" moko.
 
Subiri hali itulie, biashara ya unga ikianza utauza bila wasiwasi!
 
duh 280m!!!! 'subiri wenye nazo wala hawatashangaa bei unalipwa fasta cash'
 
280m namiliki shamba kubwa la embe(100acres)na baada ya miaka 3 naanza kuingiza kila mwaka 8,400,000-9,000,000 kwa acrex100acres= 840,000,000-900,000,000per a year x10years=!!!!!
 
Mkuu chukua 270m tumalize biashara bila kelele..
 
Mkuu Milioni nne na nusu huchukui? Maana 25 kwa 25 ndo bei zake.
 
Back
Top Bottom