angalia hiyo bajeti

angalia hiyo bajeti

englibertm

JF-Expert Member
Joined
May 1, 2009
Posts
9,252
Reaction score
6,209
599780_163523283778838_1997323688_n.jpg
 
Ndo maana Serikali zinapandisha kila siku kodi kwenye Ulabu kwa sababu kuna hela nyingi!
1: Bajeti ya Kugharamia Urodah ni Mafungu manne
2: Bajeti ya Kununua Ulabu ni mafungu matatu
3: Bajeti ya Pango, Chakula na Usafiri ni fungu moja!

Kumbe chinini pana kula kuliko mdomo!
 
Mh! naona malaya wamepewa kipaumbele. hatari sana.
 
Sio bajeti ya Bishanga hiyo..!?? ngoja..
 
Last edited by a moderator:

hiyo ni bajet ya mwanaume sarawili
asiejitambua na asie na majukumu!!
 
Back
Top Bottom