Ilikua ni project ya mataifa kadhaa kipindi ncho rais wa marekan mnyama ronald reagan alitoa wazo la kuwa na satellite huko angani bunge likakubali.
-Mataifa kadhaa kama japan, german, russia, marekan wenyewe n.k wakafanya hiyo proect.
-Mnamo 1998 walirusha vyombo vya hiyo satellite kwa rocket na mpango ukakamilika.
-Inaitwa iternational space station (ISS).
-Huko wachunguzu wapo huko na maisha yanaendelea kama kawa, Tafit mbali mbali zinafanyika.