hooligan01
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 664
- 540
tecno m3 na nna2mia USB
tecno m3 na nna2mia USB
USB ka 2 nmejaribsha mkuu
Charger unayotumia ndio iliyokuja na simu au umenunua separate?
Tattizo inaza kuwa unatumia charger inayotoa current ndogo (mA) wakati battery iliyo kwenye simu yako ni kubwa. Ikiwa hivyo hata uki charge wiki nzima battery haiwezi kujaa
upo wapi nikutengenezee
chaja (usb)yake nliharibu nlpobadlsha USB ndo tatzo lmeanza co unanshaulje
Wanajf naomba msaada,
Simu yangu now ukiiweka katika chaji inawaka kuonesha inaingiza chaji lakini inaongezeka percentage chache sana yani hata 2%@hour kwa hiyo labda mwenye kujua anisaidie kama aliwahi kukutana na hili tatizo maana mwanzo nikajua tatizo labda betri ,nikanunua kumbe sio.
Naombeni msaada jameni.
hata mimi tatizo hilo lilinikuta ktk p3 usb ilikatika nikambahatisha rafiki yangu ana travel charger ndiyo nnayotumia mpaka sasa
cm yangu ghafla haipeleki chaji kabisa na chaja ni original nahic tatzo kwa system charger n Vodafone 875
chaja (usb)yake nliharibu nlpobadlsha USB ndo tatzo lmeanza co unanshaulje