Andre Onana to Arsenal

Mnyuke junior

Member
Jun 1, 2021
19
15
Golikipa wa timu ya Ajax ya nchini Uholanzi anakaribia kujiunga na washika mitutu wa jiji la London ARSENAL.

Taarifa za kuaminika kutoka kwa mwandishi wa habari za michezo CHARLES WATTS zinasema dau la kumchukua mlinda mlango huyo zinategemea na maamuzi ya kesi yake inayomkabili ambapo kesho inasikilizwa katika mahakama za kimichezo.

IMG_20210601_181321.jpg
 
Lenno haeleweki Arsenal, maji baridi mara maji moto hana consistency, wacha Arsenal walete kifaa kingine kimchangamshe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom