Mnyuke junior
Member
- Jun 1, 2021
- 19
- 15
Golikipa wa timu ya Ajax ya nchini Uholanzi anakaribia kujiunga na washika mitutu wa jiji la London ARSENAL.
Taarifa za kuaminika kutoka kwa mwandishi wa habari za michezo CHARLES WATTS zinasema dau la kumchukua mlinda mlango huyo zinategemea na maamuzi ya kesi yake inayomkabili ambapo kesho inasikilizwa katika mahakama za kimichezo.
Taarifa za kuaminika kutoka kwa mwandishi wa habari za michezo CHARLES WATTS zinasema dau la kumchukua mlinda mlango huyo zinategemea na maamuzi ya kesi yake inayomkabili ambapo kesho inasikilizwa katika mahakama za kimichezo.