Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 31,985
- 95,514
Khaaa yatakushindahaaaa....wasubiri nini mamaaa...
Fanya bwana kamati humuhumu jf...!
yaani kwa kweli kila kitu mwanzo mwenga..
Mkongwe mimi nilijua ni HS mpaka nimesoma comment yako ndo nimeshtukanaona mtu wa pili huyu anatumia Avataar ya mtu mwengine ku express the feelings
Yeah sure. Unachokiona mwingine anaweza asikione kabisa. kui atakununia coz anampenda mno shem wakeMie nimefurahia tu na kupiga makofi. kui hawezi kutia neno ataishia kutabasamu tu. Ndiyo sababu nikaamua kuuchuna tu maana nilichokiona mimi yeye labda asingeweza kukiona. Si unajua binadamu tunaweza kuangalia kitu kile kile mwingine akakwambia hiki rangi yake ni hii na mwingine akasema rangi yake ni tofauti kabisa.
Khaaa yatakushinda
Me mwenyewe nilishtukaje avatar lolMkongwe mimi nilijua ni HS mpaka nimesoma comment yako ndo nimeshtuka
Subiri tu siku Benny akileta posasana tu..tena mie navyopenda kubeza kwaito....
aahh wapi!!!
ngoja nianze kujiandaa Shem darling!
Duuuh naona unampango wa kunyanyua mtu....komaa mzee pamoja sana...To you Dearest Heaven Sent,
Seems like I have fallen in love with you…you are just the best! Now all I want to say is that I can't live without you and don't even want to. You are the best thing that has ever happened to me and i think you'll make my life complete. I adore you from my heart and soul and want to let you know that you are my little angel who i love the most. Only mwandiko wako was enough to fill my heart with this enormous LOVE. You make me so happy anytime i read ur post/comment..., that all I need now is you to make my life complete.
Your's the one and only Korboto.
cc atoto fanya mazoezi ya kubeba kapu la mama.
Mawazo yangu yakanipeleka kwamba kuna mtu amekutumia PM hayo maneno kwenye uzi, sasa wewe umeyapenda kwa kuappreciate ukaona bora utushirikishe na sisi tuone tuchangie na ikiwezekana tukupe pongeziMe mwenyewe nilishtukaje avatar lol
Subiri tu siku Benny akileta posa
Kasema hali inazidi kuwa ngumu kachoka kuisoma namba
Haha haki. Me nilijua mtu ananisema naandikaga sana magazeti. Sasa ile naona avatar nikabaki sielewi, najiuliza mbona sijaanzisha uzi haha mweeMawazo yangu yakanipeleka kwamba kuna mtu amekutumia PM hayo maneno kwenye uzi, sasa wewe umeyapenda kwa kuappreciate ukaona bora utushirikishe na sisi tuone tuchangie na ikiwezekana tukupe pongezi
=>ghafla nakutana na post ya bonny
Vipi jamani?