ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,711
- 5,641
Sasa Tanzania ndani ya nchi yetu tumepata top top Defensive Midifielders, vijana wenye nguvu kweli kweli, mmoja Akitokea Simba Sports Club kwa jina Akijulikana kama Yusuph Kagoma Mvunja Kuni, na mwingine akifahamika kwa jina Aziz Andambwile A.k.a PLC. vijana hawa ni wataalamu wa kukaba na kuchezesha timu.
sasa tulinganishe Baadhi ya mambo toka kwao
Umri - Aziz 25, Kagoma 29
Urefu - Aziz 184 cm, Kagoma 180
Uzito Aziz 76kg, kagoma 75 km
Hawa wote.ni watoto wetu, Andambwile ana speed zaidi ya kagoma, lakini kagoma anajua kupasi zaidi.
pia katika kukaba sioni wakipishana sana.
sasa tuseme maoni yetu, kati ya Aziz andambwile na Yusuph Kagoma nani mtaalamu zaidi katika eneo lake.
Kimakabila wote wanatokea makabila ambayo yamekuwa juu kwa vipaji vya mpira, mmoja Muha wa kigoma.mwingine mnyakyusa wa Mbeya.
sijawagi kuona mtu mwenye kipaji chochote anatokea kabila la wakwele, sijui hili kabila kuna shida gani
sasa tulinganishe Baadhi ya mambo toka kwao
Umri - Aziz 25, Kagoma 29
Urefu - Aziz 184 cm, Kagoma 180
Uzito Aziz 76kg, kagoma 75 km
Hawa wote.ni watoto wetu, Andambwile ana speed zaidi ya kagoma, lakini kagoma anajua kupasi zaidi.
pia katika kukaba sioni wakipishana sana.
sasa tuseme maoni yetu, kati ya Aziz andambwile na Yusuph Kagoma nani mtaalamu zaidi katika eneo lake.
Kimakabila wote wanatokea makabila ambayo yamekuwa juu kwa vipaji vya mpira, mmoja Muha wa kigoma.mwingine mnyakyusa wa Mbeya.
sijawagi kuona mtu mwenye kipaji chochote anatokea kabila la wakwele, sijui hili kabila kuna shida gani