Anayopitia Tundu Lissu

Tuo ujinga wako,eti wanyonge wachache nchi hii asilimia kubwa raia wake ni maskini wa kutupwa shukuru huko ccm unabahatisha vihela vya uwizi na wewe ungekuwa masikini.Miaka yoye hiyo mpo madarakani mmeshindwa kuondoka ufukala vilaza nyie.
 
πŸ†πŸ†πŸ†πŸ†πŸ†πŸ†πŸ†πŸ†πŸ†πŸ† msululu wa fisi wenye najisi unaelekea CHAUMAna CCM. thank you God CHADEMA kiko HURU sasa.
 
Tuo ujinga wako,eti wanyonge wachache nchi hii asilimia kubwa raia wake ni maskini wa kutupwa shukuru huko ccm unabahatisha vihela vya uwizi na wewe ungekuwa masikini.Miaka yoye hiyo mpo madarakani mmeshindwa kuondoka ufukala vilaza nyie.
maskini utakua umebaki wewe pekeyako tu gentleman kwasababu ya uvivu, ubabaifu na ulofa wako.

zidisha juhudi katika kufanya kazi muungwana acha kumbwelambwela tu humu jukwani πŸ’
 
Sawa, mnyang'anyeni tutamnunulia hata IST, kikubwa elimu itatolewa kwa watanzania
atachanganyikiwa gentleman na hivi anakaa kwa wazazi? Ni fedheha sana aise πŸ’
 
Hata umwambie nani anakuona wewe ndiye mropokaji tena kana kasuku kwa kukaririshwa na kundi lako la roho mbaya.
Relax gentleman,
jikite kwenye hoja bila mihemko wala makasiriko πŸ’
 
Tulia wewe anytime nalianzisha sokomoko 🀣
ntakuja kukusalimia mwananyamala gentleman,

I hope nikikusalimia mambo kamanda - utakua unajibu thafi tu aithee,

kwasababu taya zitakua hazina ushirikiano dah !πŸ’
 
Wewe na wenzio mwendelee kutokwa povu kwa bakora mlizocharazwa kwa mambo yenu ovu na roho zenu zinazowaza mabaya juu ya wengine.
Asikusumbue huyo yeye mwenyewe huko CCM cha moto amekiona sana.
 
ntakuja kukusalimia mwananyamala gentleman,

I hope nikikusalimia mambo kamanda - utakua unajibu thafi tu aithee,

kwasababu taya zitakua hazina ushirikiano dah !πŸ’
Nipo hapa Manzese kwa Mfuga Mbwa
 
Bro una moyo zaidi ya paka,roho ngumu mno!
Kwa jinsi ulivyokuwa unaiongelea CHADEMA,ulivyokuwa unamwongelea Mbowe,ukajaribu kupambana Uenyekiti wa Mbowe...Leo unapambana kuwavisha taulo G55,hakika wewe "kiboko"..
 
Wewe na wenzio mwendelee kutokwa povu kwa bakora mlizocharazwa kwa mambo yenu ovu na roho zenu zinazowaza mabaya juu ya wengine.
Gentleman,
nani kakucharaza viboko aise?
Hiyo haitakuwi bana,

Jitahidi uwe na roho nzur na bidii katika kazi, acha uvivu usije ukawa lofa kama hao waropokaji, sawa gentleman?πŸ’
 
Fanyeni yote ila wote ni wakaburini miaka 100 mbele wote tutakuwa udongoni haijalishi ulikuwa na madaraka kiasi gani.

Mifano mnayo walikuwepo wababe wakajiona mungu watu ila sasa wako udongoni
 
Bro una moyo zaidi ya paka,roho ngumu mno!
Kwa jinsi ulivyokuwa unaiongelea CHADEMA,ulivyokuwa unamwongelea Mbowe,ukajaribu kupambana Uenyekiti wa Mbowe...Leo unapambana kuwavisha taulo G55,hakika wewe "kiboko"..
G55 walimponda Sana lissu wakati wa uchaguzi mara Hana Hela hawezi kushinda, blahblah nyingi...Leo wanahahaa.Lissu ni moto mwingineee
 
Fanyeni yote ila wote ni wakaburini miaka 100 mbele wote tutakuwa udongoni haijalishi ulikuwa na madaraka kiasi gani.

Mifano mnayo walikuwepo wababe wakajiona mungu watu ila sasa wako udongoni
Gentleman,
kila nafasi itaonja umauti.

huna haja ya kubabaika wala kubwelambwela kuhusu hilo na kujifanya wewe ni mjomba wake mungu,πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…