Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 9,761
- 15,577
Binafsi nimekuwa kwenye tafakuri kuhusu maisha, nimewaza haya..
Kuna watu Mungu kawapa mioyo ya huruma kiasi kwamba yupo tayari kubeba adhabu ya Mtu au watu wengne, na kuwaokoa awapendao
Tundu Lissu anaipenda Nchi yake, tena sana.
Upendo uwo hauelezeki,
Katika biblia, Mfalme Daudi alipoona Mungu kashusha adhabu ya tauni kwa watu wake, Daudi alimlilia Mungu na kutafuta msamaha kwa Kumwambia Mungu, Nipige mimi na familia yangu mimi uliyenituma kuwa kuwa kiongozi wao, ndio unipe adhabu ya Makosa yote. 🤧😭😭 na daudi alipigwa.
Watanzania tumemkosea Mungu, na msamaha si kitu kilahisi kwa Mungu bila adhabu tukiwa hapa duniani.
Eeh Mungu mtie nguvu kiongozi anayepambania haki za watu wako.
Na pia Mungu awatie nguvu family savior wote mnaotambua kuwa Mungu kakupa kundi ambalo wewe ndie kiongozi.
🙏🏾
Kuna watu Mungu kawapa mioyo ya huruma kiasi kwamba yupo tayari kubeba adhabu ya Mtu au watu wengne, na kuwaokoa awapendao
Tundu Lissu anaipenda Nchi yake, tena sana.
Upendo uwo hauelezeki,
Katika biblia, Mfalme Daudi alipoona Mungu kashusha adhabu ya tauni kwa watu wake, Daudi alimlilia Mungu na kutafuta msamaha kwa Kumwambia Mungu, Nipige mimi na familia yangu mimi uliyenituma kuwa kuwa kiongozi wao, ndio unipe adhabu ya Makosa yote. 🤧😭😭 na daudi alipigwa.
Watanzania tumemkosea Mungu, na msamaha si kitu kilahisi kwa Mungu bila adhabu tukiwa hapa duniani.
Eeh Mungu mtie nguvu kiongozi anayepambania haki za watu wako.
Na pia Mungu awatie nguvu family savior wote mnaotambua kuwa Mungu kakupa kundi ambalo wewe ndie kiongozi.
🙏🏾