Anayeuza simu

Anayeuza simu

Joined
Sep 1, 2018
Posts
34
Reaction score
43
Wakuu kama utasikia mtu yeyote anauza simu aina ya samsung au iphone nzuri isiyozidi laki 3 ambayo ni nzuri isiyo na tatizo lolote iwe na rangi nyeusi


we muache auzeee me sina elaaa
 
Tumia Kikuu au Kupatana app ... Or pm me for more details
 
Wakuu kama utasikia mtu yeyote anauza simu aina ya samsung au iphone nzuri isiyozidi laki 3 ambayo ni nzuri isiyo na tatizo lolote iwe na rangi nyeusi


we muache auzeee me sina elaaa


Mkuu vp mi ulishapata simu au bado mana mi ninauza simu yangu samsung j 2 core nyeusi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom