Anayeuza decoder ya dstv........

Anayeuza decoder ya dstv........

EJM_

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
3,836
Reaction score
2,118
Kama kuna mtu ana decoder ya dstv ambayo ameshindwa kuihudumia tuwasiliane
 
sema bei yako

naweza kukuletea ulipo

nina kidecoda kidogo sina mpango nacho tena maana nimeweka decoda 3 za Easytv, zuku na startimes. the total charges are still less than what i was paying dstv
 
sema bei yako

naweza kukuletea ulipo

nina kidecoda kidogo sina mpango nacho tena maana nimeweka decoda 3 za Easytv, zuku na startimes. the total charges are still less than what i was paying dstv

Okay, wenyewe wanakiuza 89,000 sasa kama nakipata kutoka kwako nataka kiwe way too low than that. Tag yourself
 
mie ninayo zile za mwanzo ndefu acha hizi fupi alfu 40 tu.
 
Back
Top Bottom