marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 968
- 1,695
Kati kati ya kitongoji masikini chenye rate kubwa ya uharifu alikuwepo bwana mdogo alie itwa Gabriel teseka na penzi la mrembo mmoja wakishua alie itwa Skyle mrembo kweli kweli.
Mara zote Gabriel alitolewa mbavuni alipo tupa nyavu kumpata mtoto Skyle.Gabriel alipiga sana simu hakuna hata moja iliyo wahi kupokelea na mrembo.
Muda ukapia Gabriel akajipata na kua proffesional player. Baada ya kufanikiwa Sim za Skyle zikawa hazikauki. Gabrieli hajawahi kupokea.
Ila kila akitupia ana shangilia kwa kupiga simu akimaadisha mrembo apokeee sim kashatoboa.
July 23 2023 kwenye dimba wa nyumbani la Wanda Metropolitano ilipigwa mbungi kati ya Barcelone na wenyeji Atletico De Madrid , Upande wa Atletico alikuwepo Suarez alie cheza kwa mafanikio sana akiwa Barcelona chini utatu mtakatifu wa MSN,
Barca alikufa 2-0 goli za Lemar na Suares. Story haikua ushindi wa Atletico story ilikua Suarez kushangilia kama anapiga simu baada ya kufunga. Unaambiwa wakati anamaliza mkataba wake Barcelona Suarez hakupenda kuondoka ila raisi wa Clabu hakutaka aendelee sababu alimini Suarez ni mzee hivyo hakua akipokea hata sim za Suarez.
Suarez alivyo tupia akaonesha ishara ya kupiga sim akimkumbusha kuwa raisi "POKEA SIM SIJAZEEKA"
Nikilinganisha visa hivi vuwili lazima kuna mtoto wakike alijiona keki au kuna bosi alileta dharau, sasa apokeee sim Muda kajipata.
Mchizi anatupia kila siku na kila akitupia ana piga simu , anae pigiwa apokee , mchizi kasha jipata tena kajipata haswa.
Kisasi cha kufanikiwa zaidi yao kitamu sana
Namtapokea tu.
Mara zote Gabriel alitolewa mbavuni alipo tupa nyavu kumpata mtoto Skyle.Gabriel alipiga sana simu hakuna hata moja iliyo wahi kupokelea na mrembo.
Muda ukapia Gabriel akajipata na kua proffesional player. Baada ya kufanikiwa Sim za Skyle zikawa hazikauki. Gabrieli hajawahi kupokea.
Ila kila akitupia ana shangilia kwa kupiga simu akimaadisha mrembo apokeee sim kashatoboa.
July 23 2023 kwenye dimba wa nyumbani la Wanda Metropolitano ilipigwa mbungi kati ya Barcelone na wenyeji Atletico De Madrid , Upande wa Atletico alikuwepo Suarez alie cheza kwa mafanikio sana akiwa Barcelona chini utatu mtakatifu wa MSN,
Barca alikufa 2-0 goli za Lemar na Suares. Story haikua ushindi wa Atletico story ilikua Suarez kushangilia kama anapiga simu baada ya kufunga. Unaambiwa wakati anamaliza mkataba wake Barcelona Suarez hakupenda kuondoka ila raisi wa Clabu hakutaka aendelee sababu alimini Suarez ni mzee hivyo hakua akipokea hata sim za Suarez.
Suarez alivyo tupia akaonesha ishara ya kupiga sim akimkumbusha kuwa raisi "POKEA SIM SIJAZEEKA"
Nikilinganisha visa hivi vuwili lazima kuna mtoto wakike alijiona keki au kuna bosi alileta dharau, sasa apokeee sim Muda kajipata.
Mchizi anatupia kila siku na kila akitupia ana piga simu , anae pigiwa apokee , mchizi kasha jipata tena kajipata haswa.
Kisasi cha kufanikiwa zaidi yao kitamu sana
Namtapokea tu.