Anayepafahamu eneo linaitwa Mkokozi

Anayepafahamu eneo linaitwa Mkokozi

Mtanzanyika

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2015
Posts
368
Reaction score
425
Habari wana JF,

Mimi kazi niko Mwanza ila ni mzaliwa wa DSM na wazazi wangu wanaishi DSM. Leo katika story na wenzangu tumesikia kuna viwanja vinapatikana eneo linaitwa Mkokozi lipo karibu na Kigamboni.

Kwa anayepafahamu naomba maelezo kuhusu ufikaji wake, mazingira yake, hali ya bara bara na kama watu wameshaanza kujenga maeneo hayo.

Asanteni sana
 
Karibu sana mkokozi,ufikaji wake unapitia mbagala kongowe una shuka kituo cha mwembe tegu,barabara niya vumbi,ni sehemu iliyoanza kuchangamka watu wananunua viwanja na kujenga kwa kasi,mkokozi ipo wilaya ya mkuranga.
 
Karibu sana mkokozi,ufikaji wake unapitia mbagala kongowe una shuka kituo cha mwembe tegu,barabara niya vumbi,ni sehemu iliyoanza kuchangamka watu wananunua viwanja na kujenga kwa kasi,mkokozi ipo wilaya ya mkuranga.
Asante sana Kaka.... kuna umbali gani kutoka daraja la Kigamboni na kutoka feri.? Na vipi bei za viwanja zimekaaje.? Eatu wamejanga kisasa au hakujapangika.?
 
Asante sana Kaka.... kuna umbali gani kutoka daraja la Kigamboni na kutoka feri.? Na vipi bei za viwanja zimekaaje.? Eatu wamejanga kisasa au hakujapangika.?

Umbali unaweza kuchek google map,viwanja vipo inategemea na ukubwa wa kiwanja,maeneo mengi hayajapimwa ila kuna ustaarabu mana wanao nunua na kujenga ni raia wa uchumi wa kati.
 
Mkokozi mi naujua mto tu Tumeoga Sana enzi zetu
Mkokozi kulikua na mto unaitwa mkokozi na lilikua Lori kweli nashangaaa siku hizi pamejengwa balaaa pameungana na Toa Ngoma kule karibu shule ya Agape sekondari
 
Karibu sana mkokozi,ufikaji wake unapitia mbagala kongowe una shuka kituo cha mwembe tegu,barabara niya vumbi,ni sehemu iliyoanza kuchangamka watu wananunua viwanja na kujenga kwa kasi,mkokozi ipo wilaya ya mkuranga.
Wee...kumbe nilijua ya Kongowe hii hapa kumbe Kuna ya mkuranga pia!
Ahsante kunijuza
 
Back
Top Bottom