kuna jamaa wa kariakoo kanambia 550 s8+ inawezekan kweli au ni kopi yake ?karibu ulimwengu wa flagship mzee.
hili ni jini,ghafla utajuta ulikuwa wapi siku zote.
nakushauri uchukue 8+maana ni kubwa kwa kioo.
speed kubwa.
laini sana haina kustack mzee baba.
betry inakaa vizuri tu
charger unique,hutawaona wana wakikuazima tena.
bei haitishi sana ni 750-850 inategemea eneo ulipoenda.
inawezekana hiyo bei ipo ila ukaguzi ni muhimu.kuna jamaa wa kariakoo kanambia 550 s8+ inawezekan kweli au ni kopi yake ?
Mkuu ebu nijuze kuhusu samsung A40karibu ulimwengu wa flagship mzee.
hili ni jini,ghafla utajuta ulikuwa wapi siku zote.
nakushauri uchukue 8+maana ni kubwa kwa kioo.
speed kubwa.
laini sana haina kustack mzee baba.
betry inakaa vizuri tu
charger unique,hutawaona wana wakikuazima tena.
bei haitishi sana ni 750-850 inategemea eneo ulipoenda.
hilo nalo ni simu utafurahia ukaaji wa charge uliotukuka.hizi simu za kisasa ziko poa sana mzee ingawa sio kama flagship hapo juu.ila huwezi jutia.Mkuu ebu nijuze kuhusu samsung A40
Nataka nivute hiyo kitu
Aiseeeehilo nalo ni simu utafurahia ukaaji wa charge uliotukuka.hizi simu za kisasa ziko poa sana mzee ingawa sio kama flagship hapo juu.ila huwezi jutia.
kabei nako kamechangamka andaa 500 na kuendelea.
Kuna kitoto cha chuo hapa ud kizuri nilikua nakitongoza kinazingua zingua, baadae kikanipa uchi kwa mbinde balaa. Bahati yangu nzuri nilikua na s8+ ila nilivunja kioo ikawa inastack, nikaitengeneza nikakapatia, yaani sijui hakajawahi kutumia hizi high end devices, yaani toka nimempa daily ananishukuru, akija home ananipa uchi kwa moyo wote najitafunia bila shida. Kila siku ananishukuru kuhusu hii simu, nikajua haka kalikua kamezoea tecno sasa nimekahamishia ulimwengu mwingine lazima kachanganyikiwe.karibu ulimwengu wa flagship mzee.
hili ni jini,ghafla utajuta ulikuwa wapi siku zote.
nakushauri uchukue 8+maana ni kubwa kwa kioo.
speed kubwa.
laini sana haina kustack mzee baba.
betry inakaa vizuri tu
charger unique,hutawaona wana wakikuazima tena.
bei haitishi sana ni 750-850 inategemea eneo ulipoenda.
Kuna kitoto cha chuo hapa ud kizuri nilikua nakitongoza kinazingua zingua, baadae kikanipa uchi kwa mbinde balaa. Bahati yangu nzuri nilikua na s8+ ila nilivunja kioo ikawa inastack, nikaitengeneza nikakapatia, yaani sijui hakajawahi kutumia hizi high end devices, yaani toka nimempa daily ananishukuru, akija home ananipa uchi kwa moyo wote najitafunia bila shida. Kila siku ananishukuru kuhusu hii simu, nikajua haka kalikua kamezoea tecno sasa nimekahamishia ulimwengu mwingine lazima kachanganyikiwe.
Mimi na samsung samsung na mimi, niliwahi kutumia matakataka ya apple ila yakanishinda, hapa najichanga nasubiri s11 mwakani, maduka ambayo hua nanunua simu hua unaruhusiwa kubadilisha tolea la zamani kwenda mpya.
Mkuu kikubwa Samsung ni display nzuri, laini na inayotiririka vizuri, ang'avu. Hizi high ends zina camera nzuri, specifications nyingi nzuri ambazo utaazipata apple baada ya miaka 2 au 3. Samsung wameniroga kwa kweli.Tuelekezane mkuu ni yapi hayo sijawahi tumia Samsung , nilikua microsoft, nikatoka nikahamia apple nikatoka na niko xiaomi. Nataman ladha ya high end yeyote ile namba nisumbue kitaa
Mkuu kikubwa Samsung ni display nzuri, laini na inayotiririka vizuri, ang'avu. Hizi high ends zina camera nzuri, specifications nyingi nzuri ambazo utaazipata apple baada ya miaka 2 au 3. Samsung wameniroga kwa kweli.
Hahah aseh pole rafiki.Hii simu kuna siku simu yangu ilizima, nikamuazima jirani nipige picha ambayo nilikuwa nnihitaji sana ambayo ina details za namba n.k zilitoka vizuri sana kwenye S8, nikaomba nitumiwe nnatumia iphone, nilijuta hamna kitu kinasomeka, nikamuomba anitumie kwenye email ili nifungue kwenye PC balaa lile lile, nilijuta kwa kweli
iphone tatizo ni vioo vyao.Hii simu kuna siku simu yangu ilizima, nikamuazima jirani nipige picha ambayo nilikuwa nnihitaji sana ambayo ina details za namba n.k zilitoka vizuri sana kwenye S8, nikaomba nitumiwe nnatumia iphone, nilijuta hamna kitu kinasomeka, nikamuomba anitumie kwenye email ili nifungue kwenye PC balaa lile lile, nilijuta kwa kweli
Wapi unanunua mkuu..?Kuna kitoto cha chuo hapa ud kizuri nilikua nakitongoza kinazingua zingua, baadae kikanipa uchi kwa mbinde balaa. Bahati yangu nzuri nilikua na s8+ ila nilivunja kioo ikawa inastack, nikaitengeneza nikakapatia, yaani sijui hakajawahi kutumia hizi high end devices, yaani toka nimempa daily ananishukuru, akija home ananipa uchi kwa moyo wote najitafunia bila shida. Kila siku ananishukuru kuhusu hii simu, nikajua haka kalikua kamezoea tecno sasa nimekahamishia ulimwengu mwingine lazima kachanganyikiwe.
Mimi na samsung samsung na mimi, niliwahi kutumia matakataka ya apple ila yakanishinda, hapa najichanga nasubiri s11 mwakani, maduka ambayo hua nanunua simu hua unaruhusiwa kubadilisha tolea la zamani kwenda mpya.
Ebwan vip anakubali kufanya exchange na pesa na s7edgenaitumia s8+ simu imekamilika kila idara niliinunua 600k pale mawasiliano ubungo na ina warranty.kama upo tayari nicheki nikuunganishe na huyu bwana
Ebwan vip anakubali kufanya exchange na pesa na s7edge