Anayeifahamu hii series

Anayeifahamu hii series

BJB FC

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2015
Posts
2,169
Reaction score
2,487
Jina na maudhui nimesahau!!!!!!!!!!!!
Ni ya miaka michache tuuu iliyopita.Ilikuwa inaonyeshwa ITV.Nakumbuka starring alkuwa anauwezo wa kujibadilisha kuwa bonge la tiger.Pia alikuwa ana ndege,tai,ambaye alkuwa anamtumia kuchunguza maeneo mbalimali.Dah!!!!Nilikua naichek kipind kile under 10!!!!!!
Anayeikumbuka naomba anitajie jina.
 
Jina na maudhui nimesahau!!!!!!!!!!!!
Ni ya miaka michache tuuu iliyopita.Ilikuwa inaonyeshwa ITV.Nakumbuka starring alkuwa anauwezo wa kujibadilisha kuwa bonge la tiger.Pia alikuwa ana ndege,tai,ambaye alkuwa anamtumia kuchunguza maeneo mbalimali.Dah!!!!Nilikua naichek kipind kile under 10!!!!!!
Anayeikumbuka naomba anitajie jina.

Series ninazozifahamu ni mbili tu Mkuu kwa sasa ambazo ni Makinikia 1 Sterling alikuwa Muhongo na Makinikia 2 Sterling kawa Chenge.
 
Mkuu ukiipata nishitue na mm niifatilie mana hii series ya makinikia sijaielewa
 
Dah.....hakuna anayeijua
 
Mi nakumbuka walker Texas ranger tu. Na masunset beach.
 
BeastMaster
Beastmaster_02.jpg
 
Jina na maudhui nimesahau!!!!!!!!!!!!
Ni ya miaka michache tuuu iliyopita.Ilikuwa inaonyeshwa ITV.Nakumbuka starring alkuwa anauwezo wa kujibadilisha kuwa bonge la tiger.Pia alikuwa ana ndege,tai,ambaye alkuwa anamtumia kuchunguza maeneo mbalimali.Dah!!!!Nilikua naichek kipind kile under 10!!!!!!
Anayeikumbuka naomba anitajie jina.
Kama sijakosea iliitwa BEASTMASTER,,,kitambo sana
 
Back
Top Bottom