mwamba c
JF-Expert Member
- Jan 2, 2017
- 690
- 2,363
Inaitwa Beast MasterJina na maudhui nimesahau!!!!!!!!!!!!
Ni ya miaka michache tuuu iliyopita.Ilikuwa inaonyeshwa ITV.Nakumbuka starring alkuwa anauwezo wa kujibadilisha kuwa bonge la tiger.Pia alikuwa ana ndege,tai,ambaye alkuwa anamtumia kuchunguza maeneo mbalimali.Dah!!!!Nilikua naichek kipind kile under 10!!!!!!
Anayeikumbuka naomba anitajie jina.