Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 448
Nilikuwa naitumia ila sahivi nataka kusitisha kufanya hii biashara kutokana na kuwa bize na biashara nyingine,napatikana Tegeta.Anayehitaji ani-PM tuongee biashara
Kisheria ama kitaratibu za vodacom inaruhusiwa kuuza au kununua?
Je, mtu akinunua anabadili jina? Au inakuaje? Naomba kufahamu kabla hatujaenda hatua ya biashara
Unaendelea kutumia jina la aliyekuuzia
Nilikuwa naitumia ila sahivi nataka kusitisha kufanya hii biashara kutokana na kuwa bize na biashara nyingine,napatikana Tegeta.Anayehitaji ani-PM tuongee biashara