Anayehitaji Hostel Nairobi.

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
8,508
Reaction score
13,976
Habari za weekend.
Kwa wale wasichana au akina mama wanaosoma/watakaosoma vyuo mbalimbali Nairobi Kenya,ninawatangazia kuwa kuna hosteli ya jinsia ya kike pekee inapatikana katikati ya jiji la Nairobi,Kenya.
Single self room with en suite bathroom(chumba na choo chake kwa mtu mmoja)
Sehemu ni tulivu yenye high maximum security.
Bei ni 19,000KSH kwa mwezi inajumlisha chumba,breakfast na dinner.(Umeme na maji ni 24hrs inajumlishwa kwenye bei)

Sehemu ina parking kubwa na salama,endapo mhitaji atakuwa na gari.

Mawasiliano: 0752489529
 
Bei yako kwa Nairobi ni karibu na bure ila isiwe kibera au kawangwale na maeneo Kama hayo maana watachukua hadi soksi Wakora Si unawapata?
 
Sikuharibii biashara lakini kwa bei hio Nairobi, hio nyumba itakua mbovu mbovu.
 
Sikuharibii biashara lakini kwa bei hio Nairobi, hio nyumba itakua mbovu mbovu.
Una uhuru wa kuandika usiogope,kabla ya mtu kutoa pesa atapata nafasi ya kukagua chumba na mazingira yanayomzunguka,endapo ataona hajaridhika,hakuna malipo.
Wewe ulitaka niandike pesa ngapi? Kwanini watu tumekuwa kila kitu lazima tuseme?? Ningeandika pesa kubwa watu mgelalamika,leo nimeandika pesa ambayo nadhani ni sawa kwa bajeti ya wanafunzi wewe unasema ndogo.
Elewa hilo jengo ni kwa ajili ya wanafunzi na sio wafanyakazi.
 
Nina mdogo wangu anasoma Karen ningemchukulia hapo kwako lakini nadhani patakua mbali na chuo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…