BuletAngle
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 688
- 557
Hii habari inawachangiaji wanao furahisha sana
Well said mkuuHii habari utaipata kwenye media za nchi masikini tu kama Tanzania.huwezi kusikia bbc au cnn wanatangaza huu upuuzi.
Sio kwa kukosoa huko mkuu, kwa hiyo umethibitisha ni mchawi?Kweli hii kali WA kwetu wakidondoka wachawi ulaya malaika duuu! Kumbe binti ndembo akienda huko atapata malaika wengi. ( kumbe wao wakikamata mchawi wanamwita malaika? )
Mbona hadi Mungu,Yesu wapo wanajiita,ni tatizo La saikoloji zaidMalaika gani lizee hivyo na upara?