Lazima chemstry awe na C sio chini ya C.Salamu.Mdogo wangu anapenda asome Bachelor in Nursing chuo chochote nchini namlipia ada na mahitaji yote. Ana PCB EDC anaeza pata chuo gani.
Ushindani ni mkubwa mwaka huu na yeye bado anapenda hio kozi
Hapo aende dip au vyuo vya nje anapata nafasi vizuri acheni na washezi wa TCUBiology ndio ana C
NakaziaHapo aende dip au vyuo vya nje anapata nafasi vizuri acheni na washezi wa TCU
Kama unaweza mtaftie collage aachNe na mambo ya university huko ataangukia educationSalamu.Mdogo wangu anapenda asome Bachelor in Nursing chuo chochote nchini namlipia ada na mahitaji yote. Ana PCB EDC anaeza pata chuo gani...
Washezi tu hicho sio kigezo cha kupoma mtu principle pass ya E inatosha vizuri tuKwanini wanapenda C ya Chemistry? Mana nimesoma guidelines za KCMC na Bugando wanataka C ya Chemia