Habari wana Jf...Mimi nina mpenzi wangu ambae nampenda sana.....mara ya kwanza kugegedana ilikua ni mwez wa 8...na yy ndo ilikua mara yake ya kwanza....ss toka apo tukafanya km wk hv lkn ile wk yte alikua bdo anaumia sn....akawwa hatakii kabisa.....akawa anasema nimvumilie kwa wiki tutakua tunaenda mara 2....cha kushangaza mpk leo bado anaumia sn....binafsi najickia vbya halafu namuonea huruma......nimeshajitahid njia zte kumuandaa namuandaa vzr tuu.....mpk mafuta tukaanza kupakaa.....lakini cha ajabu bado anaumiaa......Naombeni ushauri ndugu zangu