Anatishia kuniua

Anatishia kuniua

Mwanzije

Member
Joined
Jan 17, 2014
Posts
25
Reaction score
3
Nimekua kwenye uhusiana na dada mmoja lkn juz kati niliamua kuachana nae ili kujitoa kwenyd mtandao. Sasa amekua ananitumia sms za vitisho na kunambia chochote kitakachonikuta nimlaum yeye. Wapenda nifanyaje?
 
Nimekua kwenye uhusiana na dada mmoja lkn juz kati niliamua kuachana nae ili kujitoa kwenyd mtandao. Sasa amekua ananitumia sms za vitisho na kunambia chochote kitakachonikuta nimlaum yeye. Wapenda nifanyaje?

unatia aibu kaka,,,unaogopaje msichana hizo biti tu,anapoza maumivu ya kuachwa...phat girl
 
Nimekua kwenye uhusiana na dada mmoja lkn juz kati niliamua kuachana nae ili kujitoa kwenyd mtandao. Sasa amekua ananitumia sms za vitisho na kunambia chochote kitakachonikuta nimlaum yeye. Wapenda nifanyaje?

Yeye ndiye aliyekutongoza ama wewe ndiye ulimtongoza mwanzoni?
Try this instead

Jiue kabla hajakuua. Atatamba sana akifanikiwa kukuua.

BTW hili nalo ni la kuomba ushauri???
 
Nimekua kwenye uhusiana na dada mmoja lkn juz kati niliamua kuachana nae ili kujitoa kwenyd mtandao. Sasa amekua ananitumia sms za vitisho na kunambia chochote kitakachonikuta nimlaum yeye. Wapenda nifanyaje?

kama ulikuwa una mtu wako,kulikuwa na umuhimu wowote wa kumtumia huyo bidada?
 
Kama huyo mwanamke ni wa pwani baasi ni mkwara tuu mpuuze, lakini kama ni wa ile mikoa ya wababe Mara,Kilimanjaro au Arusha basi chukua taadhari ikiwemo R
 
Nimekua kwenye uhusiana na dada mmoja lkn juz kati niliamua kuachana nae ili kujitoa kwenyd mtandao. Sasa amekua ananitumia sms za vitisho na kunambia chochote kitakachonikuta nimlaum yeye. Wapenda nifanyaje?
±
Natafuta Shugamammy la kunilea
Nina uwezo na uzoefu mzuri wa kugegeda na nadhan ntamlidhisha atakavyo. Aliyetari atume sms ama kupiga kwenye 0755255899 au 0659760575


±
Ushapata Shugamammy kwanza?
 
Toa taarifa polisi kwa kutumia ushahidi wa hizo SMS ili afunguliwe RB.
 
vip kijana shugamamy ndo amekupa mikwala nin au haukumgegeda vizuri kama ulivyo kuwa unajitapa....uwiiiiiiiii pole.R.I.P mwanzije.....
 
Jiue kabla hajakuua. Atatamba sana akifanikiwa kukuua.

BTW hili nalo ni la kuomba ushauri???

Hahahaha, kweli ajimalize kabla hajamalizwa huyo, watoto wa mama wana matatizo
 
Back
Top Bottom