Anataka nizae naye watoto

Anataka nizae naye watoto

Huyu dada nafahamiana nae kwa mda wa mwaka na miezi kadhaa hivi. Tulikutana katika mishe mishe za maisha tukajenga urafiki wa kawaida. Binafsi nafurahia sana urafiki wetu, ni dada flan ivi ana akili sana ya maisha.

Wiki iliyoisha amenipigia simu anahitaji kuongea nami lakini si kwa simu. Tukakutana sehem ndo akanambia lengo lake, kua anapenda sana kuwa na watoto umri, uwezo anao lakini hana mpango wa kuolewa. Akawasilisha ombi lake la kutaka kuzaa na mimi.

Wakuu mimi nina mke na watoto wawili, naipenda familia yangu. Japokua uyu dada anasema jukumu la kulea, shule na malezi kwa ujumla litakua juu yake. Amenda mbali anasema kama nikitaka watoto wanaweza wasitumie jina langu.

Asee nimeshindwa kumpa jibu nimemwambia acha nifikirie kwanza sijataka kuumiza moyo wake kwa mda ule.

Nimejikuta nawaza sana ivi naanzaje kuzaa nje ya ndoa? Ikitokea nimezaa nae uyu dada nitawezaje kuwaficha watoto wangu kwa ndugu na marafiki? Bila kujali watoto wamepatikana katika mazingira gani kwa hili sio sahihi kabisa nitakuwa siwatendei haki watoto. Kama ikitokea watoto wasitumie jina langu ivi nitaendelea kuishi vipi apa duniani hali ya kua najua nina damu sehem flan ambao wanatumia jina la mtu mwingine. Mwisho kabisa mke wangu akijua nina watoto nje ya ndoa anaweza kutaka tuachane. Sipo tayari kuachana na mke wangu na familia yangu. Nimetoka nae mbali.

Ombi la uyu dada limenifikirisha sana. Ivi nini kimempata uyu dada adi kuja na ombi kama hili tena kwa mme wa mtu! Hii dunia inaelekea pabaya sana!
Acha ujinga baki na mke0
 
Huyu dada nafahamiana nae kwa mda wa mwaka na miezi kadhaa hivi. Tulikutana katika mishe mishe za maisha tukajenga urafiki wa kawaida. Binafsi nafurahia sana urafiki wetu, ni dada flan ivi ana akili sana ya maisha.

Wiki iliyoisha amenipigia simu anahitaji kuongea nami lakini si kwa simu. Tukakutana sehem ndo akanambia lengo lake, kua anapenda sana kuwa na watoto umri, uwezo anao lakini hana mpango wa kuolewa. Akawasilisha ombi lake la kutaka kuzaa na mimi.

Wakuu mimi nina mke na watoto wawili, naipenda familia yangu. Japokua uyu dada anasema jukumu la kulea, shule na malezi kwa ujumla litakua juu yake. Amenda mbali anasema kama nikitaka watoto wanaweza wasitumie jina langu.

Asee nimeshindwa kumpa jibu nimemwambia acha nifikirie kwanza sijataka kuumiza moyo wake kwa mda ule.

Nimejikuta nawaza sana ivi naanzaje kuzaa nje ya ndoa? Ikitokea nimezaa nae uyu dada nitawezaje kuwaficha watoto wangu kwa ndugu na marafiki? Bila kujali watoto wamepatikana katika mazingira gani kwa hili sio sahihi kabisa nitakuwa siwatendei haki watoto. Kama ikitokea watoto wasitumie jina langu ivi nitaendelea kuishi vipi apa duniani hali ya kua najua nina damu sehem flan ambao wanatumia jina la mtu mwingine. Mwisho kabisa mke wangu akijua nina watoto nje ya ndoa anaweza kutaka tuachane. Sipo tayari kuachana na mke wangu na familia yangu. Nimetoka nae mbali.

Ombi la uyu dada limenifikirisha sana. Ivi nini kimempata uyu dada adi kuja na ombi kama hili tena kwa mme wa mtu! Hii dunia inaelekea pabaya sana!
Wapo wengi sana wa namna hiyo, usijichanganye hata kumt******* mwambie unampenda mke wako viungo vyako haviko tayari kukutana na vyako.
 
Nipe Namba Yake,ila Nitachakata Kwanza Kwa Kipindi Cha Miezi 12 Kupanua Njia Asije Mbana Kichwa Mtoto
 
Kawaida mtu akishaandika anahitaji ushauri kwa jambo binafsi kama hilo basi elewa hamna kitu humo kichwani, mambo kama hayo yanahitaji maamuzi ya kiume sasa kama huwezi kuamu mwenyewe basi hata huyo mke ulienae sijui kama hukuchaguliwa na watu. Hatuwezi kukushauri kwa sababu uko kinyume na mtazamo wetu
 
Haya mambo yapo kabisa. Mimi namjua mtu mumewe hana uwezo wa kuzalisha ila dada kabla ya kuolewa alishzaa na mtoto alikuwa bahati mbaya na pia alipata miscarriage before ndoa na sio za mumewe. Sasa huyu Dada ana shida na mtoto akamfata shemeji yake wanafanana sana na mumewe akamuomba Ampe mimba ili nae azae atasema mtoto ni wa mumewe. Mwanaume alikataa kata akasema bora azae nje ya ndoa na kuwa huru na watoto wake kuliko kuzaa halafu mtoto wake apewe mwingine ilhali anajua ni mtoto wake.
 
Huyu dada nafahamiana nae kwa mda wa mwaka na miezi kadhaa hivi. Tulikutana katika mishe mishe za maisha tukajenga urafiki wa kawaida. Binafsi nafurahia sana urafiki wetu, ni dada flan ivi ana akili sana ya maisha.

Wiki iliyoisha amenipigia simu anahitaji kuongea nami lakini si kwa simu. Tukakutana sehem ndo akanambia lengo lake, kua anapenda sana kuwa na watoto umri, uwezo anao lakini hana mpango wa kuolewa. Akawasilisha ombi lake la kutaka kuzaa na mimi.

Wakuu mimi nina mke na watoto wawili, naipenda familia yangu. Japokua uyu dada anasema jukumu la kulea, shule na malezi kwa ujumla litakua juu yake. Amenda mbali anasema kama nikitaka watoto wanaweza wasitumie jina langu.

Asee nimeshindwa kumpa jibu nimemwambia acha nifikirie kwanza sijataka kuumiza moyo wake kwa mda ule.

Nimejikuta nawaza sana ivi naanzaje kuzaa nje ya ndoa? Ikitokea nimezaa nae uyu dada nitawezaje kuwaficha watoto wangu kwa ndugu na marafiki? Bila kujali watoto wamepatikana katika mazingira gani kwa hili sio sahihi kabisa nitakuwa siwatendei haki watoto. Kama ikitokea watoto wasitumie jina langu ivi nitaendelea kuishi vipi apa duniani hali ya kua najua nina damu sehem flan ambao wanatumia jina la mtu mwingine. Mwisho kabisa mke wangu akijua nina watoto nje ya ndoa anaweza kutaka tuachane. Sipo tayari kuachana na mke wangu na familia yangu. Nimetoka nae mbali.

Ombi la uyu dada limenifikirisha sana. Ivi nini kimempata uyu dada adi kuja na ombi kama hili tena kwa mme wa mtu! Hii dunia inaelekea pabaya sana!
Jibu ni simple tu, mwambie haiwezekani. Acha upendo wa mshumaa, kuogopa kukuumiza yeye alafu ujiumize wewe mwenyewe.

Leo anajiweza, lakini ya kesho huyajui. Ikitokea mambo yamemuendea kombo, kuna siku utarudi toka job ukute watoto kawaleta kwa mkeo, alafu yeye katokomea, wewe unabaki na msala.

Kama wewe na mkeo mnaelewana vizuri, basi task Yako kubwa ni kumaintaint hiyo amani ambayo mnayo. Hakuna mwanamke anayependa kulea watoto wa nje, especially kama hao watoto wamepatikana tayari mkiwa kwenye ndoa
 
Ishi na mtu umjue . Usikurupuke asee mwanzo watu huficha makucha as days goes ndio utajua hujui

cc Smart911
 
Hahahaaaa.....imebidi nicheke.

Jaribu uone utakavyojuta.

Akiwa na mimba tu utakimbia Nchi.

Inaonekana huyo mwanamke anakuzidi akili, kipato na ufahamu
Ameshasema yeye mwenyewe mwanamke ana akili ya maisha
 
Huyu dada nafahamiana nae kwa mda wa mwaka na miezi kadhaa hivi. Tulikutana katika mishe mishe za maisha tukajenga urafiki wa kawaida. Binafsi nafurahia sana urafiki wetu, ni dada flan ivi ana akili sana ya maisha.

Wiki iliyoisha amenipigia simu anahitaji kuongea nami lakini si kwa simu. Tukakutana sehem ndo akanambia lengo lake, kua anapenda sana kuwa na watoto umri, uwezo anao lakini hana mpango wa kuolewa. Akawasilisha ombi lake la kutaka kuzaa na mimi.

Wakuu mimi nina mke na watoto wawili, naipenda familia yangu. Japokua uyu dada anasema jukumu la kulea, shule na malezi kwa ujumla litakua juu yake. Amenda mbali anasema kama nikitaka watoto wanaweza wasitumie jina langu.

Nimeshindwa kumpa jibu nimemwambia acha nifikirie kwanza sijataka kuumiza moyo wake kwa mda ule.

Nimejikuta nawaza sana ivi naanzaje kuzaa nje ya ndoa? Ikitokea nimezaa nae uyu dada nitawezaje kuwaficha watoto wangu kwa ndugu na marafiki? Bila kujali watoto wamepatikana katika mazingira gani kwa hili sio sahihi kabisa nitakuwa siwatendei haki watoto. Kama ikitokea watoto wasitumie jina langu ivi nitaendelea kuishi vipi apa duniani hali ya kua najua nina damu sehem flan ambao wanatumia jina la mtu mwingine. Mwisho kabisa mke wangu akijua nina watoto nje ya ndoa anaweza kutaka tuachane. Sipo tayari kuachana na mke wangu na familia yangu. Nimetoka nae mbali.

Ombi la uyu dada limenifikirisha sana. Ivi nini kimempata uyu dada adi kuja na ombi kama hili tena kwa mme wa mtu! Hii dunia inaelekea pabaya sana!
Ok
 
Kuna haja tz kuwe na maabara watu tuweke mbegu huko anayetak akachukue na kufanya production. Inaonekana sasa uhitaji ni mkubwa.
 
Back
Top Bottom