Mm pia kama wengi wenu humu sikuelewa mwanzo ila maana ni hv, furaha ama huzun ikizid sana inaathiri afya na hata kuua. Ukweli kakaenu niko na grade A+ kiasi kwamba shem enu nkisafiri wiki anaumwa na nkirud hawez tena fanya kitu kwa cku kadhaa za mwanzo kwa furaha anayopata hasa kwakujua atapata "mwana ukome" ya haja,sa kumbe ile cyo poa,kaenda hospital na ktk ushauri wa daktari kamwambia anisihi nipunguze ukali wa mechi siyo tu ntamfanya awe addicted ila naweza muua kwa kile alichotaja km 'kuzidisha Raha"