...anataka nipunguze mahaba,ntampa kisukari.

...anataka nipunguze mahaba,ntampa kisukari.

Dr. Ndimu

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2012
Posts
717
Reaction score
146
Habarin wana MMU, nimeshtushwa na kauli ya shemeji yenu. Ni kwamba alikuwa anaumwa jana akaenda hospital kwakuwa nlikuwa ktk sherehe za mapinduz sikuweza kumsindikiwa and was ok with her, jion wakati merud hm kama ujuavyo mambo ya kizungu nkaanza kumpetipet mama watoto ndo kwa unyenyekevu mkubwa akaniambia kambiwa na daktari anishauri nipunguze mambo kwakuwa nina utamu kupitiliza sa nkizid ntampa kisukari,meshangaa japo mejua kwanin nagombewa sana na maex zangu.
 
wewe Na Mamsapu Wako,
Mrudishwe Mirembe!!
 
jipe moyo, utayashinda
yana mwisho, vumilia
 
khee!haya ndo yanayoposytiwa humu siku mbili tatu hizi !eti Kongosho walahi sianzi kujilaumu kwa kukaa mabwe!loh!kumbe simiss kitu ehe!konnie hebu nielekeze kwenye mambo yetu yale nahisi kubanwa pumzi mie!lol!
 
Last edited by a moderator:
Authman akishalewa, lewa.
Anashindwa kujielewa, lewa.
Talila lila lila chicha limemkolea.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
khee!haya ndo yanayoposytiwa humu siku mbili tatu hizi !eti Kongosho walahi sianzi kujilaumu kwa kukaa mabwe!loh!kumbe simiss kitu ehe!konnie hebu nielekeze kwenye mambo yetu yale nahisi kubanwa pumzi mie!lol!

Bwana tunakumiss wenzio ujue. Soon shule zinafunguliwa, wale waskonga wote watapungua, si unajua shuleni hawaruhusu simu.

Mzima lkn?
 
Last edited by a moderator:
Bwana tunakumiss wenzio ujue. Soon shule zinafunguliwa, wale waskonga wote watapungua, si unajua shuleni hawaruhusu simu.

Mzima lkn?
mwe kesho ifike haraka jamani loh!
mimi sasa nawamisije sasa!?we acha tu!naanza kazi kesho mwaya so nitakuwepo hewani muda mwingi!
hebu nielekeze kwenye machallenge ya ukweli ya kimaisha hizi otea otea hizi waweza jikuta umepigwa ban bure na utu uzima huu!mwe!mwanetu anaendeleaje na shule lakini?ushazoea kummiss kidogo i hope?
 
Anaenda shuleni leo jioni, nimemsije; maana alikuwa ananitandikia na kunishushia net kila usiku kabla ya kupewa mabusu matatu ya goodnite. Acha kupikiwa dagaa na kutengenezewa juice, yaani we acha tu.
Anyway, I will live!
mwe kesho ifike haraka jamani loh!
mimi sasa nawamisije sasa!?we acha tu!naanza kazi kesho mwaya so nitakuwepo hewani muda mwingi!
hebu nielekeze kwenye machallenge ya ukweli ya kimaisha hizi otea otea hizi waweza jikuta umepigwa ban bure na utu uzima huu!mwe!mwanetu anaendeleaje na shule lakini?ushazoea kummiss kidogo i hope?
 
Anaenda shuleni leo jioni, nimemsije; maana alikuwa ananitandikia na kunishushia net kila usiku kabla ya kupewa mabusu matatu ya goodnite. Acha kupikiwa dagaa na kutengenezewa juice, yaani we acha tu.
Anyway, I will live!
yaah!mwaya usiwaze sana baki ukimwombea !he is a strong mana i believe!kama mama yake !
na wewe utakuwa poa tu with time!
muache akasome ajifunze maisha mengine zaidi ya kumtengenezea mommy juice na kumshushia neti plus kumpa kiss tatu(he makes yu a spoilt brat mum enh)how sweet!)
jikaze !mpe neno la kuondokea akumbuke how brave yu believe he will live regardless yuko shuleni!
thn make hima juice na mpe those three kisses(his turn lol)muage !
 
True ananispoil sana when he is around; I pray that ataendeleza spoiling kwa mkewe to be.

My dear he left Kigoma three days ago, so yuko Dar and wanampeleka shule this momento.
So nilishampa kisses za kulast 3 months already.
yaah!mwaya usiwaze sana baki ukimwombea !he is a strong mana i believe!kama mama yake !
na wewe utakuwa poa tu with time!
muache akasome ajifunze maisha mengine zaidi ya kumtengenezea mommy juice na kumshushia neti plus kumpa kiss tatu(he makes yu a spoilt brat mum enh)how sweet!)
jikaze !mpe neno la kuondokea akumbuke how brave yu believe he will live regardless yuko shuleni!
thn make hima juice na mpe those three kisses(his turn lol)muage !
 
Punguza dozi labda uje kwangu manake cpatag kisukari wala kichumvi. Halla dam changa hiii
 
Daaaa hili jamvi sasa limekuwa fb manake ni michano tu kwa kwenda mbele
 
Back
Top Bottom